Pole mkuu, hayo yote nimeyapitia ila kaza mwamba tafuta mishe kwanza ya kufanya alafu badae utamalizia kusoma ukiwa na uhuru. Usikate tamaa, there is always a way out.
Nawasalimu wote.
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza naombeni mchangie mawazo yenu kuhusu soko lake na bei yake kesho nitaiweka picha ya hiyo sarafu humu. Mara ya mwisho nafikiri mwaka juzi hiyo sarafu ilikuwa inatafutwa kwa Tsh 10million za kitanzania, japokuwa baadhi ya watu walisema siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.