1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.
2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama kama anasema ametumwa na mahakama kukumata, ni haki yako.
3. Askari akikukamata akwambie kwanini anakukamata na anakupeleka kituo gani, ni haki yako...
Mkuu ngoja na mimi ni+ hapo kwa walevi.
huyu mlevi yeye alikutwa anakojoa sehemu isiyo ruhusiwa, askari kwamwambia atoe fine ya Tsh.5000, mlevi hukua na 5000 kamili hivyo akatoa elfu 10 akaomba chenji, yule askari huku akiondoka akamwambia 'KOJOA TENA SINA CHENJI'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.