chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,696
- 22,729
Kujenga Bandari kavu ili malori yaishie huko nje ya mji hawataki.. Basi jengeni barabara special za hayo malori yenu mpunguze foleni na ajali za kizembe kama hizi pia hawataki..
Miradi ya Bandari kavu inafanywa kisiasa tu.. Nchi ya kijinga sana hii..
Kujenga Bandari kavu ili malori yaishie huko nje ya mji hawataki.. Basi jengeni barabara special za hayo malori yenu mpunguze foleni na ajali za kizembe kama hizi pia hawataki..
Miradi ya Bandari kavu inafanywa kisiasa tu.. Nchi ya kijinga sana hii..
‪Ajali imetokea maeneo ya Tazara jijini Dar es salaam Lori lenye kontena limeangukia gari dogo na Dereva amefariki.
Chanzo: EATV
Nani alaumiwe kwa ajali hizi kama siyo ccm ?
Nchi hii haiendeshwi kwa sheria magari ya makontena ilitakiwa yatembee kuanzia saa 5 usiku.
Migari ya mafuta inakwenda sambamba na foleni ambayo inaweza kusababisha maafa makubwa