Nyumba na kiwanja chake vipo igoma jijini mwanza
Being ni mil 12
Eneo lake ni miguu 18 kwa 25
Limepimwa kabisa bado umeme
Namba za simu: 0762972021 kwa maelezo zaidi
Dear Mtende, how are things?
Mimi nawaheshimu sana wanawake, hasa wenye watoto!
Nikichukulia mfano mama yangu mzazi, hapo ndio huwa nawavulia kofia wamama wa kiafrika!
Mama yangu kaniokoa na mambo mazito sana kwa kufanya maamuzi ya haraka sana!
Mfano:
1; nikiwa na miaka minne, nilipungukiwa damu...
Habari ??
Naomba mawasiliano kama inawezekana kupata Mawasiliano ya football academies zozote zilizoko Ulaya.
Nina watoto under 16 hapa Tanzania nahitaji nitume video zao mbalimbali nione kama tutafanikiwa kupenyeza baadhi wakaendeleze vipaji vyao
Dini ya mfalme solomoni,
Kipenzi cha God,
Wake 700, michepuko 300!
Huyo ndo king bwana, hata.mi nikipata chance, nawala hata 50 wa Jf hapa wazae tu dadeki... Matunzo tutalilia Zitto na serikali yetu😁😁😁😁
Bado hawatambuliki kokote kimichezo, si FIFA wala UEFA
Kifupi Catalunia ni kama Zanzibar flani hivi kutoka URT.
La Liga clubs refuse players permission to join Catalonia squad | Euronews
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.