Iyo mbona ni kweli, private walikuwa wanasoma wajinga waliofeli darasa la saba lakini labda utwambie wewe ni mwaka gani tusijekuwa tunaongea na watoto wa 2000 samahani lakini
Kichwa cha habari usika,
Naomba ushauri kwa wanaoifahamu vizuri shule ya secondary ya Jitegemee au mnaweza nishauri shule nyingine kwa watoto wa kike au mchanganyiko na ada ya kawaida kwa mimi mkulima lakini yenye maadili iliyopo Dar.
Nina binti yangu wiki ijayo ndio wanafanya mtihani ya...
Katika vijana waliobaki Ccm wenye udhubutu na ubunifu na nnaowakubali ni Makonda peke ake, ana mapungufu kibinadamu kama binadamu wengine tulivyo lakini ukweli ni lazima usemwe, ni kiongozi mzuri na atakuja kutusaidia sana kama Taifa mbele ya safari tumpe maua yake tusisubili aondoke ndio tuanze...
Wenye tamaa ya Mali uwa ni ule ukanda, sisi Wahaya atunaga njaa izo kugombania Mali za ndugu hata kwenye mashamba utaratibu unajulikana uwa ni kwa watoto wako na ndugu na familia ni kusimamia kugawana kwa haki watoto wa Mareham sio vingine
Wazo sahihi kabisa, maana iyo B uitumbikize mtaani Tra wamekuangalia, manispaa wapo hapo mala fire mala wafanyakazi wanataka kutokea hapo yani kwa mwaka utakuta imebaki 500M na faida amna, mazingira ya biashara Tz sio rafiki hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.