Najua umeumizwa Sana lakini yote katika yote msamehe kwakuwa ametamvua kosa lake na ameamua kuja kuomba msamaha
Imeabdikwa' ndugu yako akikosa na kurudi kwako kuomba msamaha saba Mara sabini msamehe 'kajitambua Hugo achilia uuone ukuu wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi kuna watu ama hawajui kilicho andikwa pale au uelewa mdogo wa kutasiri kimombo. Sheria hile haijamruhusu kabisa yeye kutangaza in public ila anamamlaka uwaagizi police officer kwa taarifa ya mdomo au kwa maandishi Nani awe detained
BBC ni press inayoaminika Dunia ilishatangaza kuwa Mgombea wa Chadema alishinda D legia mtema na si mteketa, sasa kwa sababu magamba wao wataalamu wa kupindua matokea kupitia vibaraka waliopandikiza kusimamia matokeo wakapindua matokeo. hatuna pa kukimbilia kwani hiyo siri
Ni kweli mi ni mmoja ambaye nipo katika maeneo haya, na huu ni ukweli usio pingika Chadema imeshika kasi na hata baadhi ya chaguzi ndogo za serikali kujaza nafasi zilizo wazi basi Chadema imeibuka kidedea kwa kishindo.naweza kuainisha baadhi ya maeneo kama vile kitongoji cha Ruaha nafasi ya...
Kufanya maamuzi magumu ndiyo kitu kinachokosekana serikalini na kuharibu nchi.Kwa hili naipongeza cdm wanaweza kutawala na kutomfumbia macho yeyote yule akivurunda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.