CHADEMA Inakubalika sana Kilombero

CHADEMA Inakubalika sana Kilombero

Hapo kwenye vijiji, kuna taratibu za kisheria kupata hati miliki ya ardhi ya kijiji na inabidi ninyi wasomi muongioze jahazi kwa kutoa muongozo, kwa sheria ya sasa kama pori la ardhi halijatumika linaweza kutwaliwa wakati wowote kuwa ardhi ya jumla ama badu bado hata kama mwekezaji amepewa eneo na watu kuhamishwa kwa nguvu pia kuna taratbu zake na kisheria,

Endelea kuchunguza kuhusu hayo malori wacha ku-operate kwa hear say

Mkuu haya malori tunayaona huku Kilombero kila siku na hatujui ni ya nani ingawa kuna watu wansema chinichini kwamba ni mali ya "Prince".

Ni kweli kabisa mwekezaji amepewa kipaumbele kuliko sisi wananchi. Kuna wananchi wanavunjiwa nyumba zao na kufukuzwa kwenye maeneo yao ili kumpisha huyu mwekezaji. Wananchi wameishi maeneo hayo ambayo walipewa na serikali wakati wa kuunda vijiji vya ujamaa, hivyo familia zimezaana hapo na kuzikana (makaburi) hapo. Leo hii watu wanafukuzwa kama wanyama. kwa mfano kuna vijiji vya Msolwa stesheni na katurukila vilivyo kando kando ya reli ya Uhuru. Wananchi waliletwa hapo kwa ajili ya kuanziasha vijiji vya ujamaa na pia kulinda reli ya uhuru. Sasa leo serikali hiyo hiyo inawafukuza katika maeneo hayo na kumpa mwekezaji, jamani haki iko wapi?

Kilombero - Chadema Forever
 
Naunga mkono hoja, kwa bibi yangu ni mbingu huwaambii kitu kuhusu chadema

kuwa tu Mwana chadema haisadiii, zaidi unafanya nn binafsi kuleta mendeleo? nadharia ya CHADEMA italeta Maendeleo imepitwa na wakati but lazima kuwe na pa kuanzia
 
Mkuu unajua maana ya jina lako? Inaonesha wee ni mpezi wa Simba. kuna uhusiano wowote wa mapenzi hayo na jina lako? Huko Kilombelo? Ni udadisi tu.

Uwe na chama... mawazo yako yapate pa kupitia. Hacha woga tusonge mbele. Ni ushauri tu.
 
Ni kweli mi ni mmoja ambaye nipo katika maeneo haya, na huu ni ukweli usio pingika Chadema imeshika kasi na hata baadhi ya chaguzi ndogo za serikali kujaza nafasi zilizo wazi basi Chadema imeibuka kidedea kwa kishindo.naweza kuainisha baadhi ya maeneo kama vile kitongoji cha Ruaha nafasi ya MW/KIT, Chadema ilishinda kwa kura 700 na zaidi wakati ccm 129 hivi na hata Ifakara chaguzi zilizoendeshwa Chadema imeshinda viti vyote kwa kishindo.Vile vile nafasi ya Mw/kiti Kijiji cha Kifinga jirani kabisa na Ruaha nacho Chadema ilishinda nafasi hiyo kwa kishindo 2013.Watu hawana hamu kabisa na CCM hasa wananchi waliposhuhudia viongozi wa chadema wakibambikwa kesi na kuwekwa maabusu kwa muda mrefu kwa kisa tu wamekuwa wakiwaelimisha wananchi ufisadi uliofanywa wazi viongozi wa ccm walio madarakani
 
BBC ni press inayoaminika Dunia ilishatangaza kuwa Mgombea wa Chadema alishinda D legia mtema na si mteketa, sasa kwa sababu magamba wao wataalamu wa kupindua matokea kupitia vibaraka waliopandikiza kusimamia matokeo wakapindua matokeo. hatuna pa kukimbilia kwani hiyo siri
 
Eeh!!!
Chadema kweli kidume cha mbegu yani jamaa wamechezea fimbo mpaka wameshindwa kulala cdm vs ccm-zitto=ikulu
 
Niko hapa Kilombero kwa muda kwani ni msimu wa kilimo;

Nimefanya kaudadisi kadogo baada ya kuona kwa asilimia kubwa toka Mikumi hadi Chita (huko mbele sikuendelea) kuna bendera nyingi pembezoni mwa Barabara ambazo ni za CHADEMA na kugundua kwamba hiki chama kinakubalika sana huku (mm sio mfuasi wake) na kwamba zaidi ya yote idadi kubwa ya madiwani wanatoka chama hiki, hapa Chita nilizungumza na wadau kadhaa wakaniambia moja ya sababu za kuchagua CHADEMA ni kwamba wanakasirika sana umeme unatoka jirani na kwao (Kihasi) halafu unakwenda viunga vingine vya mbali ilihali wao wanawasha vibatari.......sababu nyingine ni kwamba wanaisi wamewekwa pembezoni na rasilimali muhimu za nchi na hasa ubovu wa barabara ambao hata hakuna dalili ya kutengewa fungu japokuwa wao ni wazalishaji wakubwa wa mchele

Watu wa Mngeta na Mbingu wanahasira ya umeme kwenda kwa mwekezaji wa Kilombero Plantation Limited (KPL) ilihali wao wakiambulia jenereta la mhisani mwanakijiji mwenzao

Nimewauliza vipi kuhusu sakata la Zitto linawagusaje na mustakabali wao chamani wakanijibu Zitto atapita na mambo yake lakn CHADEMA itaendelea kuwepo hIvyo wanakaza buti na Chama chao hicho.

Yeyote aliyebahatika/atakayebahatika kutembelea maeneo haya anaweza kuthibitisha haya

Besides; Simba inakubalika sana huku sababu wanachukia rangi ya kijani na njano na ninafanya mpango wa kufungua TAWI

cc: Makoye Matale, Ulimakafu, Mandieta ..................
Uko sahiji mdadisi.Jali hiyo inaendelea wilaya yote tangu Ruaha hadi Tanganyika-Maagati.Kwa sasa CHADEMA wana madiwani 4 wa kuchaguliwa.akiwamo Mhe.Kigawa wa kata ya Mngeta na mwingine wa kata ya Utengule,ndani kabisa kama kms.50 mbele ya japo Chita.Hata diwani wa mji wa Ifakara ni CHADEMA?
Tunasubiri tume ya uchaguzi itangaze uchaguzi mdogo Kibaoni,tuongeze diwani mwingine.Sijui ni nini jasajalitangaza hilo ktk uchaguzi mdogo safari hii wakati diwani Msika {CcM} alifariki June 2013 siku CHADEMA waliponyakua kiti cha kata ya IFAKARA?
Sababu kubwa ziko 3 za CHADEMA kupendwa:
- Failure ya sera na mikakati ya CcM kuchochea jitihada za wananchi kujiletea maendeleo.
- Malamiko ya wananchi wa Chita na Ikule kupokonywa ardhi yao yenye rutuba bora zaidi kuliko kwingine Tanzania kote,kwa kisingizio cha matumizi ya JKT huku ikidhihirika wazi kuwa wakubwa wamemweka CO wa kambi ya Chita JKT kama nokora wa kusimamia miradi yao ya kulima mpunga.CO Msabaha,jamaa wa ukoo wake na wakubwa wake wanalimiliki na kulima zaidi ya eka 500 ndani ya eneo la Lendi ambalo lilipokonywa toka lkwa wakulima waliovunja pori hilo kwa madai litatumiwa kwa miradi ya kilimo na JKT. Ikumbukwe wakuliwa wa kwanza kuliandaa eneo la Lendi kwa kilimo,walitokea Uchindile.Walianza kuliendeleza eneo hilo,likiwa pori la misitu na nyasi nyingi,mwaka 1975 wakati reli ya TAZARA inakamilishwa ujenzi.Ushahidi wa mianzi waliyoanda {mianzi/fitindi ni alama kuu ya asili ya uwepo wa mbema latika sehemu fulani}.
Eneo la kikosi limepanuliwa toka upana wa km.4 za mwanzo ambapo kwa mashariki liliishia mto Mkaja,hadi km.10 ambapo sasa linaanzia Railway crossing pale Ikule.Eneo hilo limemeza hata makaburi ya wakulima waanzilishi wa kilimo sehemu za Lendi na Mkaja,ambayo.
Jitihada za wanakijiji wakiongozwa ma diwani wao shupavu Kigawa<CHADEMA> kupigania ardhi yao hiyo,zinafifishwa na serikali ya CcM ili kuwakomoa kwa kuchagua CHADEMA na ili wakubwa waendelee kunufaika kwa kulima na kuuza mpunga.
- Hamasa kubwa inayofanywa na wana CHADEMA wakiongozwa na Kigawa,Mhe.Susana Kiwanga {Mbunge na mwenyekiti wa chama Mkoa Moro} kuendeleza hatua iliyoanzishwa na mpendwa wetu hayati Regia Mtema.Nilishuhudia uhamasishaji huu nilipokuwa Kidete-Mkangawalo,kwa mapumziko ile wiki ya Xmass na mwaka mpya.
Shime wana Kilombero,msirudishwe nyuma,simameni kidete pamoja ndani ya CHADEMA na mungu yu pamoja nasi,KITAELEWEKA TU,2014 na 2015.
 
Wapi Ritz?
Ni kweli mi ni mmoja ambaye nipo katika maeneo haya, na huu ni ukweli usio pingika Chadema imeshika kasi na hata baadhi ya chaguzi ndogo za serikali kujaza nafasi zilizo wazi basi Chadema imeibuka kidedea kwa kishindo.naweza kuainisha baadhi ya maeneo kama vile kitongoji cha Ruaha nafasi ya MW/KIT, Chadema ilishinda kwa kura 700 na zaidi wakati ccm 129 hivi na hata Ifakara chaguzi zilizoendeshwa Chadema imeshinda viti vyote kwa kishindo.Vile vile nafasi ya Mw/kiti Kijiji cha Kifinga jirani kabisa na Ruaha nacho Chadema ilishinda nafasi hiyo kwa kishindo 2013.Watu hawana hamu kabisa na CCM hasa wananchi waliposhuhudia viongozi wa chadema wakibambikwa kesi na kuwekwa maabusu kwa muda mrefu kwa kisa tu wamekuwa wakiwaelimisha wananchi ufisadi uliofanywa wazi viongozi wa ccm walio madarakani
 
wenyewe wanaizungumza hii kwa uchungu sana
BBC ni press inayoaminika Dunia ilishatangaza kuwa Mgombea wa Chadema alishinda D legia mtema na si mteketa, sasa kwa sababu magamba wao wataalamu wa kupindua matokea kupitia vibaraka waliopandikiza kusimamia matokeo wakapindua matokeo. hatuna pa kukimbilia kwani hiyo siri
 
Eeh!!!
Chadema kweli kidume cha mbegu yani jamaa wamechezea fimbo mpaka wameshindwa kulala cdm vs ccm-zitto=ikulu

jamaa alinitahadharisha sana kwamba niwe makini kutoongelea CCM hapa, maana watakuangalia kwa jicho kali sana AU HATA kukutenga kwa uchunguzi zaidi na hasa ukiwa mgeni machoni pao
 
si tu mpenzi mkuu ni mwanachama, Kilombero nalima tu mkuu, uki-google utanipata vizuri, asante kwa ushauri, nasubiri kwa hamu Mgombea Huru
Mkuu unajua maana ya jina lako? Inaonesha wee ni mpezi wa Simba. kuna uhusiano wowote wa mapenzi hayo na jina lako? Huko Kilombelo? Ni udadisi tu.

Uwe na chama... mawazo yako yapate pa kupitia. Hacha woga tusonge mbele. Ni ushauri tu.
 
asante kwa ufafanuzi, pengine umesaidia na wengine, na hata kuchochea operesheni moya ifike hadi huko
Uko sahiji mdadisi.Jali hiyo inaendelea wilaya yote tangu Ruaha hadi Tanganyika-Maagati.Kwa sasa CHADEMA wana madiwani 4 wa kuchaguliwa.akiwamo Mhe.Kigawa wa kata ya Mngeta na mwingine wa kata ya Utengule,ndani kabisa kama kms.50 mbele ya japo Chita.Hata diwani wa mji wa Ifakara ni CHADEMA?
Tunasubiri tume ya uchaguzi itangaze uchaguzi mdogo Kibaoni,tuongeze diwani mwingine.Sijui ni nini jasajalitangaza hilo ktk uchaguzi mdogo safari hii wakati diwani Msika {CcM} alifariki June 2013 siku CHADEMA waliponyakua kiti cha kata ya IFAKARA?
Sababu kubwa ziko 3 za CHADEMA kupendwa:
- Failure ya sera na mikakati ya CcM kuchochea jitihada za wananchi kujiletea maendeleo.
- Malamiko ya wananchi wa Chita na Ikule kupokonywa ardhi yao yenye rutuba bora zaidi kuliko kwingine Tanzania kote,kwa kisingizio cha matumizi ya JKT huku ikidhihirika wazi kuwa wakubwa wamemweka CO wa kambi ya Chita JKT kama nokora wa kusimamia miradi yao ya kulima mpunga.CO Msabaha,jamaa wa ukoo wake na wakubwa wake wanalimiliki na kulima zaidi ya eka 500 ndani ya eneo la Lendi ambalo lilipokonywa toka lkwa wakulima waliovunja pori hilo kwa madai litatumiwa kwa miradi ya kilimo na JKT. Ikumbukwe wakuliwa wa kwanza kuliandaa eneo la Lendi kwa kilimo,walitokea Uchindile.Walianza kuliendeleza eneo hilo,likiwa pori la misitu na nyasi nyingi,mwaka 1975 wakati reli ya TAZARA inakamilishwa ujenzi.Ushahidi wa mianzi waliyoanda {mianzi/fitindi ni alama kuu ya asili ya uwepo wa mbema latika sehemu fulani}.
Eneo la kikosi limepanuliwa toka upana wa km.4 za mwanzo ambapo kwa mashariki liliishia mto Mkaja,hadi km.10 ambapo sasa linaanzia Railway crossing pale Ikule.Eneo hilo limemeza hata makaburi ya wakulima waanzilishi wa kilimo sehemu za Lendi na Mkaja,ambayo.
Jitihada za wanakijiji wakiongozwa ma diwani wao shupavu Kigawa<CHADEMA> kupigania ardhi yao hiyo,zinafifishwa na serikali ya CcM ili kuwakomoa kwa kuchagua CHADEMA na ili wakubwa waendelee kunufaika kwa kulima na kuuza mpunga.
- Hamasa kubwa inayofanywa na wana CHADEMA wakiongozwa na Kigawa,Mhe.Susana Kiwanga {Mbunge na mwenyekiti wa chama Mkoa Moro} kuendeleza hatua iliyoanzishwa na mpendwa wetu hayati Regia Mtema.Nilishuhudia uhamasishaji huu nilipokuwa Kidete-Mkangawalo,kwa mapumziko ile wiki ya Xmass na mwaka mpya.
Shime wana Kilombero,msirudishwe nyuma,simameni kidete pamoja ndani ya CHADEMA na mungu yu pamoja nasi,KITAELEWEKA TU,2014 na 2015.
 
hata mm nilijiuliza hilo swali lakn kupata Ubunge changamoto zake ni nyingi sana (Rejea Tfaiti za REDET) ila kilichonitisha ni kuwa na idadi kubwa ya madiwani

Hili la madiwani sio kweli, cdm wana madiwaini 2 tu wa kata na mmoja vitimaalum out ya kata 24.

Lakini swala la mbunge hiyo inajulikana ccm iliiba kura, Regia(RIP) alishinda.
 
Wewe unayesema CHADEMA tuna madiwani 2 tu wa kuchaguliwa refresh memories zako.Tuna madiwani ktk kata za Utengule,Mngeta na Ifakara.
Tume ya uchaguzi wanatubania kwa kutotangaza Kibaoni kuwa ni kata kunakotakiwa kufanyika uchaguzi wa kujaza nafasi ya udiwani iliyo wazi baada ya kifo cha aliyekuwa diwani,Mzee Msika,mwezi Juni 2013.Uchaguzi ukifanyika tu.tumeongeza kiti
 
Mkuu haya malori tunayaona huku Kilombero kila siku na hatujui ni ya nani ingawa kuna watu wansema chinichini kwamba ni mali ya "Prince".

Ni kweli kabisa mwekezaji amepewa kipaumbele kuliko sisi wananchi. Kuna wananchi wanavunjiwa nyumba zao na kufukuzwa kwenye maeneo yao ili kumpisha huyu mwekezaji. Wananchi wameishi maeneo hayo ambayo walipewa na serikali wakati wa kuunda vijiji vya ujamaa, hivyo familia zimezaana hapo na kuzikana (makaburi) hapo. Leo hii watu wanafukuzwa kama wanyama. kwa mfano kuna vijiji vya Msolwa stesheni na katurukila vilivyo kando kando ya reli ya Uhuru. Wananchi waliletwa hapo kwa ajili ya kuanziasha vijiji vya ujamaa na pia kulinda reli ya uhuru. Sasa leo serikali hiyo hiyo inawafukuza katika maeneo hayo na kumpa mwekezaji, jamani haki iko wapi?

Kilombero - Chadema Forever

wewe ni mtu wa kilimbero 110% hayo mambo hapo juu yananiuma sana lakini ninauhakika one day someone will pay the price
 
U're right brother.Sio huko tu,pale Videnge,katikati ya Gereza la Idete na Namwawala,kwa kuzingatia udhaifu wa watendaji serikali waliomezwa na ufisadi,kuna jamaa toka Ifakara mjini amewafukuza wakulima zaidi ya 50 toka eneo/mashamba waliyokuwa wanalima kwa zaidi ya misimu 12.
Alichofanya jamaa huyo ni ku-forge tarakimu.Aliidhinishiwa hati ya kumiliki eka 100.kwa kujua uzembe uliopo serikalini kuwa hawatunzi recotds.akaongeza 0 na tarakimu zinasomeka 1,000,si 100 tena.Wanyonge walipolalamika,jamaa kakimbilia kortini na wilaya haikuwatetea wanyongeKashinde kesi feki,anatamba
 
Back
Top Bottom