Bwana W.J.Malecela uliwahi kuja na hoja nzito sana ya kutaka yeyote atakayekuja kuwa Rais arudishe nyumba za serikali zilizoporwa, kauli yako ilionesha umekerwa sana na wizi ule wa viongozi. Nilidhani huendi dhuluma.
Leo umekuja kumsifu aliyesimamia uporaji ule.
Kweli nawe ni mwanasiasa.
Mkuu,
Kutokuwa happy hata kama na uzushi jibu lake sio kutoa kauli itakayofanya chama kizima kionekane cha wahuni tu.
Zitto kutangaza kwamba Chadema hupokea hela za wana CCM imeshusha kabisa heshima ya Chadema mbele ya umma, wote sasa wanaonekana ni sawa tu.
At personal level, hasira za Zitto...
Huwezi kumwaga siri za chama ama viongozi amabazo zinashusha integrity ya chama halafu uende popote pale watu wakakuamini.
U cannot advise even your best friend atangaze siri hadharani hata kama ametukanwa kwa sababu hakuna atakayemwamini tena na siri zake.
Wacheni kumshawishi Zitto vibaya kwa...
Mkuu, mkeo akikuzushia uongo unaamini ni ujanja na busara na wewe kuanika mambo yake hadharani?
Achana na dhana kwamba ku criticise mtu maana yake ni kuwa against him.
Zitto still believe in the Mission of the Party, but he does not believe in The Personal Interests of the small bunch of Conmen.
Ndugu Gamba la Nyoka,
Yaani baada ya utoto wote huu tulioshuhudia to the extent ya kuchafua integrity of the party kwa kumwaga siri za chama hadharani for the sake...
Bro Zitto,
Kwanza nikupe pole kwa hizi changamoto unazokabiliana nazo ndani ya chama.
Dhamira yangu ni kukupa ushauri mfupi lakini ninaamini utakusaidia kama utauzingatia, ninaamini utanielewa kwa kuwa nimewahi kuwa na mazungumzo nawe juu ya maswala mbalimbali na nilikuona kwamba ni kijana...
I am in TZ (DSM) for a short stay and looking for a female friend.
What I expect:
Good looking, educated, great sense of hygiene, romantic.
U can expect the same in return.
Good luck!!!
Pls. PM me if interested.
Katika uchaguzi wa 2010 waliojitokeza kupiga kura ni kama 1/3 ya wote wenye haki ya kupiga kura.
Utafiti wangu usio rasmi unasema kwamba watu wengi wameichoka CCM ila waliamini hata wakipigia kura chama chenye nia ya dhati na uwezo wa kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa mafisadi CCM will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.