Inauma sanaaa. Kibaya zaidi wanasema uwongo. Kama tungelijua ajira hazipo hadi 2018. Watu tuliyomaliza vyuo 2015 tungeenda kujiendeleza kusoma. Angalia hadi sasa mtu umepoteza miaka mitatu huna unachofanya na bado wanakupa matumaini hewa.
Habari zenu wakuu. Ninapenda kufahamu kama hapa bongo huwa Kuna mshindano ya kumtafuta gwiji wa kucheza game la Tekken. Yoyote Mwenye taarifa anijuze tafadhari.
Ndugu fuata ushauri huu utakukusaidia
1. Fanya mazoezi ya kuongeza mapigo ya moyo mfano kukimbia au nenda gym Mara 5 kwa week ( itakuongezea furaha na kujiamini)
2. Jifunze Ku meditate au yoga na ufanye kila siku
3. Anza kupumulia tumboni na sio kifuani
. na muda wwte utakao pata woga vuta...
U
Unachosema Ni kweli , but utambue hamna kijana anaependa kukaa bila kuwa na shughuri ya kumpatia kipato. Hiyo kulima utalima vipi huna pesa ya mbegu , huna shamba huna resource yoyote. Na taasisis za kukopa wanataka wakute umeshaanza kufanya shuhuri. Kwa familia zetu za ki Tanzania life gumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.