Anza kufanya hata kazi za kujipatiaa ujuzi bila malipo au biashara, muda ukifika wa kuitwa utaitwa kama. Kama hautaitwa utakuwa na mengi umejijengea, unaweza kukuta kama mtu hauna kazi sasa hivi ukaanza hata kilimo, ukija kuitwa kazini utawakimbia wewe.
Mengi yapo ya kufanya kuliko kukaa miaka 2 unasubiri kazi ambayo unaweza hata usipate nafasi.
Hata mashirika ya binafsi etc yapo
Muangalie nje ya boksi, maisha ni yenu. Kuliko kukaa kusubiri kama unasubiri basi fanya kitu, kila kitu kinajenga ujuzi hata kuuza kitu kidogo.