Kwangu mimi maisha Maxuri sana,,Ni mwaka 6 sasa,,nijiona mwanaume Niliye kamili coz ninamke na Mtoto mmoja,Mke wangu mzuri sana hasa Maumbilee yake ,,yanahamasisha kila Siku, Kitu kinachosababisha nikose hamu ni Pesa tu,,nikiwa sina but kukaa na wife sichoki hata yeye hachoki maana ndoa...