Yani unampango wa kumtegeshea mtu mimba?
Kwakweli hilo la piliiiii....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mashaallah bila shaka miguu hiyo kwangu ngoja niandae vinywaji[emoji188] [emoji188]
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba, huwezi kumlazimisha nyani aamini kwamba asali ni tamu kuliko ndiziTafta pesa ,,,acha kulazimisha kupenda ,,Mapenzi hayo yalikuwepo enzi zile tunacheza kombolela,,, watoto,, nilikuwa tunapeana tu bila shilling,,but Leo Bureeee,,Mi demu wa bureeee simpendi kabisa
Kwa hiyo unaogopa Mijihips ikipotea?
Wewe mtoto una balaa sana;hujui hiyo ndiyo gharama ya ukubwa?
sasa si ndio njama zenu, ukiona tako na hips zinaporomoka unatega mimba tu. Ili usiachwe
La pili sio la mijihipsi, ni la mijipesa.
HahahaaaaaaYani unampango wa kumtegeshea mtu mimba?
😛😛😛Mashaallah bila shaka miguu hiyo kwangu ngoja niandae vinywaji
Sana.Anhaaa kumbe hilo la manoti ndilo linakuogopesha?
Sana.