Mimi ni mvulana kuna rafiki Yangu wa kiume naheshimiana nae sana.Amekuwa na mahusiano na Dada mmoja ambae namfahamu nipo nae Jirani sana wamekuwa wakigegedana kwa mda mrefu.Najua mvulana huyu hana mpango wa kuoa lakini huyu anaomba ushauri kwangu juu tabia ya mvulana huyu nikimweleza naogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.