Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,219
dah! msikilize tu huyu mzazi wako au mueleweshe ikishindikana basi huna budi kumpinga maana mzazi ni mzazi tu
miaka 23Una umri gani
Waliochaguliwa walidumu hadi leo nyie wakujichagulia mnadumu?Hivi mpaka leo kuna wanaochaguliwa wachumba?
InategemeaWaliochaguliwa walidumu hadi leo nyie wakujichagulia mnadumu?
Hivi mpaka leo kuna wanaochaguliwa wachumba?
Ohoo lakini mkuu kuna hii dhana imejengeka miongoni mwetu tunasema kuwa huu utamaduni umepitwa na wakatiWakuchaguliwa na Mama unadumu naye kuliko hawa mnaochaguana na kukutana Club au JF.. Case Study Mama zetu na bibi Zetu
Tunaosema hivyo ni sisi tunatongoza JFOhoo lakini mkuu kuna hii dhana imejengeka miongoni mwetu tunasema kuwa huu utamaduni umepitwa na wakati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaosema hivyo ni sisi tunatongoza JF
Maandiko yanasema waheshimu baba yako na mama yako....wao wanataka wanichagulie ila mimi sitaki kukubali na wamesema hawahusiki kwenye ndoa yetu sijui la kufanya