Nina milioni moja kwa ajili ya Bata.

Nina milioni moja kwa ajili ya Bata.

Kama manzi wako amekuruhusu utumie milioni moja kwenye bata basi huyo sio mke!! Piga chini mapema.

Mkuu unakuta hawajala bata mwaka mzima hiyo 1M wamebana kwa ajili ya mwisho wa mwaka. (Min vacation)

Bata kama wiki hivi kwa hela hiyo linawatosha. Room 50k-65k, chakula, vinjwaji , club kama wanaenda, massage&Sauna, mafuta ya gari etc
 
Inategemea ni bata wa aina gani unataka kula. Kama viwanja vyako ni aina Rose Garden au Break Point na kulala ni guest za mitaani zenye hadhi ya kati kwa watu wawili tu ni siku tatu. Kama viwanja ni Hyatt Regency hiyo fedha haitoshi hata siku moja.

Kweli mkuu, Hyatt Regency niliulizia room juz kat ni 360$. Kwa hiyo EMU yake ni usiku mmoja tu, siku ya pili anarudi mkoani. Aifanya masihara atauza simu. So ni bora ajichanganye viwanja vyetu.
 
Bro inaelekea umeuza pamba au tumbaku mikoani.1m na tena una demu na gari hivyo ni vijisenti kwa dar endapo utataka kukaa hotel ya kifahari.Ushauri tunza hiyo hela ununue mbegu na dawa kwa kilimo msimu ujao
 
Back
Top Bottom