Aisle hii madam ni motor sana, mengi tunayashuhudia kutoka kwa watu mbalimbali kwenye Jamie aidha kwa kusimuliwa au kuona kwa macho!
Dunia imekuwa uwanja wa maasi, tumuombe Mungu tuzeeke na wenza wetu kwa mapenzi na huruma...
Mie mambo hayo kusema nilikuwa naona aibu sana , shemeji yenu alipokuwa tayari nikamwambia nenda, basi akatuma mshenga, mshenga akafanya na mdogo wangu wa kiume kisha baba akaambiwa, nikaulizwa TU unamjua mtu fulani nikasema ndiyo posa ikapokelewa sasa napika na kupakua
...
Hao mama zake wadogo wapumbavu! Unaruhusu vipi mtoto wa ndugu yako akalelewe na mtu baki na wewe upo? Hayo manyanyaso kutoka kwa huyo mama mlezi walikuwa hawayaoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.