Recent content by uttoh2002

  1. uttoh2002

    Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

    Tatizo lako ni kutokujielewa, mtu amaweza mpokea Yes, then akajifunza taratibu akiwa mtii kwa roho mtakatifu kurekebisha njia zake. Kinachoanza ni maamuzi, then kuwezeshwa kwa kuitembelea hiyo njia katika utii thabiti kwa roho mtakatifu.
  2. uttoh2002

    Amepotea na hajulikani alipo kwa wiki kadhaa sasa

    Mambo 6 kwa wafanyabiashara na wapambanaji wa Tanzania ya kuogofya: 1. Tamaa za police. 2. Wanawake - Tamaa ya pesa 3. Dhuluma za wazi za TRA 4. Visasi. 5. Ushindani wa Biashara. 6. Ushirikina. Tunamuitaji Mungu sana.
  3. uttoh2002

    Nimelia sana usiku wa leo, nipo katika kipindi kigumu sana cha maisha

    Bado upo chuo? Una maitaji gani? Ukipata mtu akakusaidia kumaliza chuo utaachana na hayo ya south Africa?
  4. uttoh2002

    Je, ni sahihi mambo haya kufanywa na wanandoa?

    Ukikua utapata majibu, yote uliyosema hapo juu sio changamoto katika ndoa, hizo ni chachandu, ndoa ni nyoko kabisa.
  5. uttoh2002

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    Mzee wa kataa ndoa anatafuta mahari
  6. uttoh2002

    Hii ni Off show au itaendelea kudumu?

    Tafuta hela Kaka, nasisitiza
  7. uttoh2002

    Hii ni Off show au itaendelea kudumu?

    Tafuta hela, hutaweka umakini kwenye maisha ya watu.
  8. uttoh2002

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Kwa hiyo ili ni chat Jamii forums lazima niwe Tanzania? Kweli akili huna.
  9. uttoh2002

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    1st paragraph, nilivyojua tu anajitetea nikaacha
  10. uttoh2002

    Vipi kama Makonda anatengenezwa kwa kazi maalum?

    Walikuja na vijana wengine
  11. uttoh2002

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Hiyo project ya Train ni White Elephant, Hakuna kitu hapo.
  12. uttoh2002

    Saed Kubenea: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow?

    Kafulila = Chawa, Umepoteza mda kuandika haya 😜🥺! Sidhani kama kuna mtu timamu atapoteza mda wake kusoma huu utetezi.
  13. uttoh2002

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Hawezi dumu, huyu waliwezana na Magu maana vichwa vyao ubovu wake unaendana.
Back
Top Bottom