Kuna mtu muhuni Huku huwa natamani kumlipua ila namsitiri, nilimsaidia pesa zangu aise, tapeli Mkubwa, ngoja nimsitiri, nimejua mpaka ID yake ya kweli na Jina halisi na anakaa wapi, njaa mbaya sana, naomba niendelee kuwa na uvumilivu.
Ni vyema wanaume kusitiriana!