Recent content by uttoh2002

  1. uttoh2002

    Mke wangu kaolewa

    Jipe miaka 2 soma haya unayoandika utajua jinsi gani ulikuwa mpumbavu, wanawake hawana maana; Ishi nao kama unaishi na Jirani, akihama, wewe tafuta Nyumba ingine kama Kodi hutaiweza!
  2. uttoh2002

    Nahitaji mwenza

    Ni rahisi sana, kaangalie afya yako ya akili, Mimi Nina 52 na ninaishi na Graduate / Masters / CPA mwenye 28 years
  3. uttoh2002

    Shetani kama ni kidume avae mwili kama Yesu kristo aje Duniani alete hizi tabia zake za kipumbavu

    Huna haja ya kumtusi shetani, unatakiwa tu uuseme uzuri wa Yesu wako, ndivyo Yesu alivyoagiza, hii ndo shida ya kuwa mfuasi wa Mwamposa!
  4. uttoh2002

    Taxi mtandaoni tunaonewa

    Ndo huo, huna haki ya kulalamika, kama hakuna maslahi, achana nao!
  5. uttoh2002

    Taxi mtandaoni tunaonewa

    Huwezi onewa kama una mkataba, unefanya Choice
  6. uttoh2002

    Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Ilikuwa Haina impact kwa wa Tanzania, imechelewa sana kufa
  7. uttoh2002

    Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi

    Nani anasoma gazeti la Mwananchi? Uhuru wa habari haiwezekani kuzimwa Mpaka Kiama!
Back
Top Bottom