Tatizo lako ni kutokujielewa, mtu amaweza mpokea Yes, then akajifunza taratibu akiwa mtii kwa roho mtakatifu kurekebisha njia zake.
Kinachoanza ni maamuzi, then kuwezeshwa kwa kuitembelea hiyo njia katika utii thabiti kwa roho mtakatifu.
Mambo 6 kwa wafanyabiashara na wapambanaji wa Tanzania ya kuogofya:
1. Tamaa za police.
2. Wanawake - Tamaa ya pesa
3. Dhuluma za wazi za TRA
4. Visasi.
5. Ushindani wa Biashara.
6. Ushirikina.
Tunamuitaji Mungu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.