Recent content by uttoh2002

  1. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania HOJA Pale Kariakoo tuvunje shule ya Benjamin Mkapa na Uhuru mchanganyiko ili tupate eneo la Parking

    Unamjibu mjinga huyo??? Kwamba hajui historia?
  2. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Huu umalaya nilionao ni wa kawaida au nimerogwa?

    Umepoteza? $1000 na 170,000/- zinatosha kwenye Umalaya? Mental case!
  3. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Narudia tena kusema, Dr Ally Hussein Mwinyi anavunja record ya Maendeleo Zanzibar

    Wa Tanganyika tunapigwa Hela zetu anapongezwa msimamizi wa Hela zilizoibiwa!
  4. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Huyu ni mama na mtoto, malezi gani haya?

    Ushamba wako tu, it's very normal
  5. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Lema kuongea na vyombo vya habari kesho

    Kamwe hatutamuelewa
  6. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya ndani Patrobas Katambi akalia kuti kavu. Mguu mbele mguu nyuma

    Sijui kwa nn hawasomagi ramani
  7. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    If you only have a right definition ya Mchepuko; then absolutely Yes!
  8. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Wanawake wote wanafanana, tofauti ni namna mwanaume anawa treat, akizungua tafuta mwingine na hiyo taarifa awe nayo, nje ya hapo atakutesa sana!
  9. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania ID zenu nyingine tunazijua

    Kuna mtu muhuni Huku huwa natamani kumlipua ila namsitiri, nilimsaidia pesa zangu aise, tapeli Mkubwa, ngoja nimsitiri, nimejua mpaka ID yake ya kweli na Jina halisi na anakaa wapi, njaa mbaya sana, naomba niendelee kuwa na uvumilivu. Ni vyema wanaume kusitiriana!
  10. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Shida ni mnawategemea sana: 1. Kihisia. 2. Ki Heshima 3. Kijamii 4. Wengine hata ki uchumi. Mwanamke kuchepuka sio shida kabisa, wewe kuwa tayari tu kumuacha the very same minute! I am the value, I am a Man, I will never waste my time kutafuta pesa eti ku worry mke ana mchepuko.
  11. uttoh2002

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    1. Kisheria sio sawa. 2. Kwa tabia hiyo achana naye Mazima watu wa hivyo anaweza kuja kukuua. 3. Block him, hama unapokaa, let him do whatever he wants to do. 4. Huwa yanapita na aibu huwa zinapita .
Back
Top Bottom