Recent content by UTEKELEZAJI

  1. UTEKELEZAJI

    Kama unataka kuiona ndoa ni ngumu, oa mwanamke kutoka kanda ya ziwa hasa hasa hawa warefu na weupe

    😄 Daa mkuu umeua...na wanaume tunaopenda wanawake wenye matako makubwa akili zetu ziko wapi? Matako yana addiction kama opium. Ukishazoea huchomoki.. akipita mwanamke asiye na matako unahisi kama kapita Xi Jinping.
  2. UTEKELEZAJI

    Huwa inakuwaje pale mwanaume kujihusisha kingono ovyo ovyo hadi kupelekea kuharibu ufanisi wa maisha yake kiroho.?

    Mtu anavyofikiri ndivyo alivyo. As within, so without. As above, so below.
  3. UTEKELEZAJI

    Hakuna Shortcut: Hii ndiyo nguzo ya maendeleo inayofanya Rwanda kuendelea kwa kasi kubwa na muda sio mrefu kuiacha Tanzania

    Rwanda wamejitahidi kupunguza rushwa, kutunza mazingira, kupandisha uchumi zaidi ya 7%, Rwanda imewekeza kwa vijana. Kwa maono yangu watafika mbali.
  4. UTEKELEZAJI

    Vita ya kunyamaziana kwenye mahusiano

    Kama ana view status zako basi huyo bado anakupenda, na wewe unaonekana bado unampenda. Sasa jishushe mambo yaishe. Mambo ya kumvulia nguo kila mtu sio vizuri kuzoa mabalaa tu. Upendo pekee hautoshi watu kuishi pamoja bali unyenyekevu, kujishusha, kujitoa, na kusikiliza, etc.
  5. UTEKELEZAJI

    Ushawahi kua ushajenga tayari unakaa kwako halafu mtaani una chumba umepanga unalipia kodi?

    Kuna kipindi niliamishiwa kufanya kazi wilaya X yenye baridi sana. Nikaacha familia home. Sasa kule nilikokuwa nafanya kazi nikawa naishi kwenye uzio wenye nyumba tatu ndani yake. Moja naishi mimi, nyingine anaishi dada single, nyumba nyingine muda wote imefungwa tangu nimeamia hapo lakini...
  6. UTEKELEZAJI

    Aunt Ezekiel "Kwenye ndoa ni bao moja tu”. Ni kweli?

    Fatilia vyakula vyenye; Omega 3, zink, potassium, protein, vitamins B5, B6, C,. Ukitaka enegy mwilini kula kuku, bata, samaki, ng'ombe, mboga za majani, parachichi, na tango. Vyakula hivi sio tu nguvu za kiume lakini hata ngozi inang'aa balaa, fanya mazoezi ya kutembea. Vyakula hivyo utapata...
  7. UTEKELEZAJI

    Aunt Ezekiel "Kwenye ndoa ni bao moja tu”. Ni kweli?

    Mkuu mimi sili ugali wa aina yoyote.
  8. UTEKELEZAJI

    Aunt Ezekiel "Kwenye ndoa ni bao moja tu”. Ni kweli?

    Ugali hauongezi nguvu za kiume.
  9. UTEKELEZAJI

    Mwaka 2026, hakikisha unaombea kuachishwa kazi. Kuna mengi katika maisha zaidi ya kuingia ofisini kila siku

    Ujumbe wa mleta mada sio wa kila mtu kuna wengine wausome tu alafu wapite kimyakimya ili waendelee kutunza watoto na wake zao kwa amani.
  10. UTEKELEZAJI

    Madhara ya kutumia sukari nyingi

    Kwa hiyo watu waache kutumia sukari lakini watumie asali? Sukari ina ingredients zipi na asali inaundwa na ingredients zipi? Je mwili unatambua kilichoingia ni sukari au ni asali? Wataalamu wa sayansi ya lishe na mfumo wa chakula katika mwili wa binadamu tusaidieni kuelewa.
  11. UTEKELEZAJI

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Ndoa ni kama alama za vidole huwa hazifanani hata hivyo ili pawe na amani hapo nyumbani waweza kufanya haya; 1. Hakikisha wewe kama mume unawajibika kwenye mahitaji ya familia kwani mume asiyewajibika huongeza hasira kwa mke. 2. Kwa hatua ya dharau iliyofika usipende kukaa nyumbani. Tumia muda...
  12. UTEKELEZAJI

    Baada ya miaka 15 mdogo wangu wa kike ndiyo kaniambia rafiki yake alijua nitamuoa

    Yeah! Ni kweli kabisa pengine angeonesha kwa maneno na kwa ujasiri labda kuna jambo lingetokea...Maisha ni Fumbo.
  13. UTEKELEZAJI

    Baada ya miaka 15 mdogo wangu wa kike ndiyo kaniambia rafiki yake alijua nitamuoa

    Kwenye maisha mambo ni mengi, umenikumbusha aisee. Nikiwa chuo kuna dada tulikuwa karibu sana kwenye magroup ya kudiscuss hadi marafiki zangu wakawa wanasema kwamba yule dada ameonesha upendo zaidi lakini mimi sikuwa na muda wala sielewi. Kwa kweli tulikuwa marafiki hadi tunamaliza chuo then...
  14. UTEKELEZAJI

    Subaru Forester Xt (Sjg - Turbo) 2015 vs Subaru Forester 2015 (Sj5 - Non Turbo)

    Mkuu kwa maelezo hayo nahisi Miss TZ ina unafuu kwenye matumizi ya mafuta.
Back
Top Bottom