Recent content by UTEKELEZAJI

  1. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Mkuu uko sahihi kabisa. Kuchagua mwenza kwa usahihi ni njia moja wapo ya kupambana na adui masikini. Pia upo uwezekano kupunguza poverty circle kwa kizazi chako. Mwanamke awe na shughuli ya kufanya.
  2. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Samia nchini Urusi inakwenda kutukosesha fursa nyingi za maendeleo kutoka nchi za Magharibi

    Mkuu, mimi nauliza hivi kwanini hadi leo sisi watz tunategemea misaada?
  3. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Kama unataka uishi maisha marefu hapa duniani, basi achana na wake za watu

    Asante mkuu kwa kutukumbusha na kutuonya. Kuna mambo mengine yanahitaji nguvu ya Rohoni na uwe mcha Mungu hasa kwa jambo hilo. Unafanya kazi ofisini na mke wa mtu mama wa makamo yaani ana zigo la tako, mweusi ngozi ya kuteleza, mguu wa hatari, tumbo flat, anavaa anapendeza na ananukia vizuri...
  4. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Kuna mtu anafikiri bila yeye kazini hakutatokea chochote, ukimpa likizo anarudi kuwasalimia - Tambua pengo lako kazini linazibika

    Ndio wana overtime lakini zinahakikiwa kama ni za uhalisia au za uzembe. Pia ni pesa kidogo tu. Ukifanya kazi benki sahau ishu ya socialisation hata nyumbani watoto au mwenza wanakumis.
  5. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kweka: Kuna mtu anafikiri bila yeye kazini hakutatokea chochote, ukimpa likizo anarudi kuwasalimia - Tambua pengo lako kazini linazibika

    Kazi nyingine ambayo mimi sijawahi kuipenda ni ya benki. Unaingia asubuhi kutoka jioni tena ukute branch ambayo ni busy utakoma. Branch iko posta alafu unakaa Bunju.
  6. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Nchi ikiwa na misingi imara ya katiba na sheria na kuwa na mipango halisi ya maendeleo wala haiwezi kuogopa wageni. Uingereza imewahi kuwa na waziri mkuu mwenye asili ya India, marekani pia wote tunajuwa asili ya Obama. Kwa mtazamo wangu kama anatokea Mnyaruwanda mwenye uwezo wa uongozi...
  7. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Ni kweli ziko nyingi sana sasa hivi. Kwa wamiliki wa spacio/ractis old/raum/rumion ni wakati wa kukimbilia kwenye Honda fit ili maisha yawe nafuu zaidi. Kwa wazee wa Crown wanaweza kukimbilia kwenye Mazda Atenza.
  8. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Honda fit sijawahi kuendesha Ila nahisi inafika zaidi ya 20Km kwa litre kwa ninavyoiona ni gari la kisasa sana na umeme mwingi. Linafaa sana wakati huu wa utawala wa mfalme EWURA.
  9. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    1NZ cc1496 FE inaenda kilometa 16 kwa lita moja. 2AZ 2.4 litre kilometa 13 kwa lita pia sio mbaya hasa injini hiyo ikiwa kwenye miss Tz.
  10. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Huu uzi umenifundisha jambo nililokuwa sijui.
  11. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tangu huu uzi uanze hakuna aliyestaafu atuage? Wale wa wanaostaafu mwaka 2050 wasijali bado wana mishahara ya miezi 295 😁😁😁
  12. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hahhaaa mshahara mara nne kwa mwezi?
  13. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Huu uzi huwa unanifurahisha sana. Baada ya mshahara uzi unatulia.
  14. UTEKELEZAJI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama unataka kuiona ndoa ni ngumu, oa mwanamke kutoka kanda ya ziwa hasa hasa hawa warefu na weupe

    😄 Daa mkuu umeua...na wanaume tunaopenda wanawake wenye matako makubwa akili zetu ziko wapi? Matako yana addiction kama opium. Ukishazoea huchomoki.. akipita mwanamke asiye na matako unahisi kama kapita Xi Jinping.
Back
Top Bottom