Recent content by Utawala2025

  1. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa Mbona kuna baadhi ya mikoa wamepata check numbers wamepewa na HRs wao. Hata hata kwetu wameitwa watu wanne wakapewa check numbers wengine tulivyouliza tumeambiwa hazijatoka
  2. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leo tar 13 hatujapata check number na tumekuwa na wasiwasi wa kuenda kukosa mshahara WA mwezi huu. Maana Hospitali X ya rufaa niliyokuwepo juzi watu sita Tu ndio waliopata check numbers Kati ya watu 100. Hr leo tumemfuata Kwa hasira Sana amesema issue ya check numbers ni Makao makuu Dodoma na...
  3. Utawala2025

    DOKEZO Wanafunzi tunaosoma Shahada ya Usingizi na Ganzi Salama tupewe haki za kimasomo, Serikali ifanye maboresho katika hii Shahada

    Course mpya mpaka kupata mfumo wa muundo sio issue ya kitoto kama unavyotaka wewe Kingine hiyo course imeanzishwa kisiasa Madaktari waliikataa wakasema wao Wana anaesthesiologist. Wakataka kujua je nyie wa degree mkisoma mtaitwa nani ? Hivyo wizara ya afya ikaamua kuwapa Baraza la nurse...
  4. Utawala2025

    DOKEZO Wanafunzi tunaosoma Shahada ya Usingizi na Ganzi Salama tupewe haki za kimasomo, Serikali ifanye maboresho katika hii Shahada

    Ungejua historia ya kuwnzishwq hii Degree usingeongea haya. Ndo maana mwanzoni walikuwa wanasoma inservives Tu. Sasa sijui Tamaa ipi iliwafanya wawaruhusu PRE SERVICE wasome. Course mpya zinq shida. Kuna.. Clinical nutrition. Occupation therapy. Audiology and speech pathology. Hizi course...
  5. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu wizara ya afya Hatujalipwa mshahara mwezi wa 10. Hakuna dalili za mwezi huu maana mpaka leo hatujapata check numbers. Wajuzi wa mambo huu imeekaaje
  6. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mnaendeleaje wakuu. Nimewakumbuka jamani.
  7. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kaka I pray for You,,,one day Yes. Nakuombea kaka.
  8. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana,, Wanaofanya kazi hospital za kanda,mkoa na vyuo vya Serikali vya kati hawa ndio wanaofahamika kama watumishi waliochini ya Wizara ya afya. Wanaofanya kazi Hospital za wilaya ,zahanati na Vituo vya afya hawa wanakuwa chini ya Tamisemi
  9. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawa jamaa wanajua kuchanganya kwa kweli ngoja tukienda kuchukua barua tutajua ukweli. Maana kada kama Afisa muuguzi msaidizi ANO nafasi zilitangazwa 1000+ wametoa 400. Mpaka sasa Hatujaona Pdf ya CO ambao kwa kiasi kikubwa hawafanyi kazi wizara ya afya wao ni TAMISEMI. kinachotia wasiwasi...
  10. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sherehe wapi jamani mimi hizi raha sijazoea jamani.
  11. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante sana Madam Good is good
  12. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Manga Jr mikeka ya Afya. Mbona hamna shuhuda humu au sio wadau wa jf. Maana mpaka sasa watu zaidi ya Buku wamelamba dume
  13. Utawala2025

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hapana kaka nilichoka mkataba nilikuwa nataka Nipate ajira ya Ku settle na kufanya maisha.
Back
Top Bottom