Nenda kwa vyombo vya dola umtie adabu. Acha kumuonea huruma na kumchukulia ni baba wa watoto wako... anakufanyia ugaid na wewe deal naye kihuni vilevile
Pia watoto kama wanasoma English medium warudishe kayumba. Don't force to maintain status wakati mambo yameyumba. 40M zinaweza kuwa nyingi lkn pia ni kidgo sana kama usipoadjusst maisha yako. Tisa kumi jua wewe ni mwanaume panga mipango yako kwa kuangalia bajeti yako usifikiri sana hela ya mke...
Nakushauri tafuta eneo zuri anzisha duka la mangi ndugu hakika halitakutupa huku ukiangalia fursa zingnee. .. duka la mangi linaweza kukukost kati ya 5-10m tu. Kuwa shopkeeper. Usiwe na presha ya kuanza kitu kikubwa kitachokukost zaid ya 10M.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.