Recent content by USSR123

  1. USSR123

    Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

    Wakati mwingine Pascal huwa naangalia comments zako nakinganisha na umri wako naona mahala wewe haupo sawa.ebu sasa kua vyote.unakua kwa umru lakn hekima na bado sana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. USSR123

    Iran yaonya itatoa jibu kali na la kujutisha

    Na kama kweli huyo Israel jinsi unavyosema ameikalia kudos sijui kwa nguvu. Kwann Iran kwa uwezo alonao asiende kumtoa asiendelee kukalia hyo sehem takatfu??? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. USSR123

    Iran yaonya itatoa jibu kali na la kujutisha

    Mimi nauliza tu nini maana ya utawala haramu wa kizayuni??? Maana kila mkimrefer huyu mtu lazm aitwe haramu.haramu ni nani na harali ni nani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. USSR123

    Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

    We nae ushagakua mlamba makari..ya ccm...succession plan ya chama chochote kile inaitaji uwanja sawa wa kisiasa.sasa kunavokua hamna unategemea watapataje hao wapinzani succession plan? Play fare uone
  5. USSR123

    Mauaji ya Patrice Lumumba 1961

    Usiache kunitag boss
  6. USSR123

    NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

    Ebu nyie acheni kutufanya sisi mandondocha, Nida vitambulisho ilivyogawa hata theruthi ya nchi nzima bado. So hao watu wanaopoteza vitambulisho ndo wameweza kuchanga hillo gawio kubwa kiasi hicho? Penye kukosoa koseni na penye kusifu msifu lkn katika uhalisoa. Mafala nyie
  7. USSR123

    Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

    Duuu 3M kwa siku,kweli hapa ndo naamini kuna usanii na wasanii. Yaani hyo 3M hata Magufuli mwenyewe raia no.1 tz hatumii hyo Pesa per day.yaani hata mo dewj
  8. USSR123

    Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

    Nauliza kwa WCB fans, kwann wanasema Harmonise au sijui konde boy akitoka WCB watafuta nyimbo zake na hawatamsapoti na kumtukana matusi kibao, kwamba wanaashabikia mziki mzuri na msanii mzuri au wanashabikiaa timu nzima ya WCB hata kama wanatoa nyimbo mbaya
  9. USSR123

    Tbc uzalendo wenu uko wapi?

    Zbc2 inaendeshwa na Azam media Sent using Jamii Forums mobile app
  10. USSR123

    Ripoti ya CAG 2017/2018: Mwanachama CHADEMA ajimilikisha gari la Chama lililonunuliwa kwa Sh Milioni 147.5

    => CAG Assad: Tumebaini CCM haijawasilisha NSSF makato ya Sh. bilioni 3.74 ya wanachama wake. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. USSR123

    Diamond Platnumz ana nyota ya kupendwa mashabiki wengi kuliko Clouds Media

    Mm siku nimejua mmiliki Wa wasafi TV ni mke Wa kusaga hapo ndo nilipo choka wallahi. Na ndo mmiliki Wa primetime promotions.unategemea kuna ugonvi halisi hapo
  12. USSR123

    AY akiri kumiliki nyumba Marekani

    Inaelekea una tatizo na AY personally
  13. USSR123

    SWALI FIKIRISHI

    Mimi nauliza tu, siku ametekwa aliacha kiatu kimoja, je siku ya kupatikana alivaa viatu vyote,na vipi mavazi kwa waliobahatika kumuona
Back
Top Bottom