Mashindano ya CAF Vijana chini ya miaka 17 yanafanyika Tanzania Kwa Mara ya kwanza ni mashindano makubwa Kwa Africa na duniani.
Nimeshangaaa sana television ya taifa haikuweza kuonyesha hata ufunguzi wa mashindano haya makubwa ambayo nchi yetu imepata Bahati kuyaandaa
Uzalendo wenu uko wapi ... Amasa Kwa watanzania walioko vijijini, wilayani na mikoani wasiokuwa na ving'amuzi vya azam na dstv mnawasaiiaje nini faida ya kuwa na television ya taifà Ingekuwa nchi nyingine mechi zingeonyeshwa na hamasa ingekuwa kubwa kupitia television ya taifa lao.
Uzalendo kwanza Tanzania kwanza
Nimeshangaaa sana television ya taifa haikuweza kuonyesha hata ufunguzi wa mashindano haya makubwa ambayo nchi yetu imepata Bahati kuyaandaa
Uzalendo wenu uko wapi ... Amasa Kwa watanzania walioko vijijini, wilayani na mikoani wasiokuwa na ving'amuzi vya azam na dstv mnawasaiiaje nini faida ya kuwa na television ya taifà Ingekuwa nchi nyingine mechi zingeonyeshwa na hamasa ingekuwa kubwa kupitia television ya taifa lao.
Uzalendo kwanza Tanzania kwanza