Hivi wewe mleta uzi una akili kweli au kichwa chako ni sawa na BOX la kutupia Condoms guest?
CDM na UKAWA ni tegemeo la waTanzania wote na October ndo inasubiriwa kwa hamu kumuondoa fedhuli CCM.
Anyway, Wewe Upo nyumbani Tanzania lakini hujui kinachoendelea mbwa we. Tupo USA tunafatilia...
Amelewa madaraka. Kuna mahala huyu bwana alitoa speech hadi wachumi walishaa etie jamaa ni mkurugenzi wa bank kubwa Tz.....ila Baadae mchumi mmoja kutoka Norway akasema hashangai maana yupo pale kifisadi si kitaaluma na kitaalamu....Na kama ni kweli alizungumza vile na mwananchi basi huyu bwana...
Nani amekwambia mnafiki wewe? Njoo umuone mwana Lumumba mwenzako akijipendekeza kwa wazungu hapa New York.....kuomba misaada wakati resources zote zipo om Tz
Yeah nilikuwa naangalia Fox Tv hapa New York nikaona anahojiwa kwamba anampango gani wa kuwasaidia Afrika maana inaonekana anamashabiki wengi sana barani humo Ndio akajibu hivyo.
My take
Jamaa yupo sahihi 100% kwa jawabu hilo maana tangu tuanze kupokea misaada Hakuna popote tulipo zaidi...
Before I came to USA nilifanya kazi na Sarva na Gen. Ulimwengu. Kwakweli ni kijana ambaye ni jeuri sana ila JK akiondoka nayeye mwisho wake utakuwa Umefika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.