UKAWA mnatuchanganya, acheni sifa

UKAWA mnatuchanganya, acheni sifa

Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.

Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!

Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Naona UKAWA mnacheza ngoma ya Zitto, na atawapeleka mpera mpera mpaka mjute kwanini hamkumuomba msamaha yaishe! SACCOS ya Wachaga ndio inaelekea kufa!
 
Tunawakaribisha mtaani, ila mje na takrima ya kutosha - sisi tutajipanga tujae kwenye mikutano yenu, msisahau usafiri wa kwenda na kurudi mikutanoni, Posho za siku, ikiwezekana Pilau na Soda!! Msibadililke - Tunawasubiri kwa hamu.

Ngoja nimjibie kama hivi
 

Attachments

  • 1430150036189.jpg
    1430150036189.jpg
    55 KB · Views: 216
  • 1430150064285.jpg
    1430150064285.jpg
    83.3 KB · Views: 210
Hamlali, hamli mkashiba.....mtaweweseka sana mwaka huu.
 
teh teh habar za ziara za UKAWA si vutizi pale lumumba! ila Mzee Tupatupa nyie mtapeleka timu gani ziaran, team el, team mwigulu, team bm, team wahasira, team hk, team february, team samuye, au team gan?
 
Hawana adabu......watoto wamezaliwa juzi tu wanatutoa kamasi wazee wazima....hii haikubaliki hata kidogo
 
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.

Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!

Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
UKAWA haimtishi mtu/chama chochote. UKAWA tuko kazini. Kama mnauwezo basi fanyeni kazi, maneno ya nini?
 
Mzee Tupa Tupa na nyinyi mtagawana kama ukawa au itakuwa ni Kinana na Mwenezi tu?
 
Naona UKAWA mnacheza ngoma ya Zitto, na atawapeleka mpera mpera mpaka mjute kwanini hamkumuomba msamaha yaishe! SACCOS ya Wachaga ndio inaelekea kufa!
Mkuu mtoa mada anaandika kutoka Lumumba UKAWA wametoka wapi tena?
 
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.

Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!

Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tulieni dawa ya Pepo-Punda iwaingie. Mtakoma na huo mchepuko wenu wa ACT.

Loading October.......
 
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.

Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!

Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
huu mwaka ccm lazima mkae chini,watanzania wengi tuwazoefu hivi sasa na mageuzi tofauti na enzi zile za kinamrema! Ukimwaga mboga tunamwaga ugali,na kama ni njaa basi tutalala wote njaa!
 
Back
Top Bottom