Naona UKAWA mnacheza ngoma ya Zitto, na atawapeleka mpera mpera mpaka mjute kwanini hamkumuomba msamaha yaishe! SACCOS ya Wachaga ndio inaelekea kufa!Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tunawakaribisha mtaani, ila mje na takrima ya kutosha - sisi tutajipanga tujae kwenye mikutano yenu, msisahau usafiri wa kwenda na kurudi mikutanoni, Posho za siku, ikiwezekana Pilau na Soda!! Msibadililke - Tunawasubiri kwa hamu.
Naona wewe ndio hujamuelewa, akina Mchambuzi wamemuelewa sana tu, ndio maana wanamwambiawaje na fisi safari hii!!Wengi hamjamuelewa.Huyu anawaponda CCM kama vile anaimba mashairi ya kuwaponda kiaina.
Sawa,ila huyu bwana huwa ni sawa na zero vector!Naona wewe ndio hujamuelewa, akina Mchambuzi wamemuelewa sana tu, ndio maana wanamwambiawaje na fisi safari hii!!
UKAWA haimtishi mtu/chama chochote. UKAWA tuko kazini. Kama mnauwezo basi fanyeni kazi, maneno ya nini?Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mkuu mtoa mada anaandika kutoka Lumumba UKAWA wametoka wapi tena?Naona UKAWA mnacheza ngoma ya Zitto, na atawapeleka mpera mpera mpaka mjute kwanini hamkumuomba msamaha yaishe! SACCOS ya Wachaga ndio inaelekea kufa!
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Nani sasa, Mchambuzi au mzee tupatupa wa Lumumba?Sawa,ila huyu bwana huwa ni sawa na zero vector!
Kutakuwa na timu za msimu. Zitacheza mpira zaidi ya chandimu. MANI,kaeni chonjo,kupata vionjo
Mzee Tupatupa
FaizaFoxyHatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
safari hii mje na tembo mweupeeeee