Wabunge CHADEMA lazima kuwa na shahada

Wabunge CHADEMA lazima kuwa na shahada

Ni sahihi kabisa. Kwa hali ilivyo kwa nyakati hizi Hatuitaji STD 7 kama wakina Prof Maji Marefu au Zuberi Mtemvu kuingia mjengoni kuwawakilisha wananchi.

Loading October....

Fafanua kidogo kwanini umesema hivyo?
 
Vip eelim ya
proff maji marefu
amani karume
livistone lucynde
idd azan
hasnain murji
sophia simba
JITU SONI

SOMA HABARI KABLA YA KUCHANGIA ; WAMEKWAMBIA HAWA NI WANACHAMA WA chadomo (CDM)
USIPOJIPANGA UTAPANGWA

AKILI NDOGO BANA ZA BAVICHA; KUKURUPUKA TU.
 
Kauli ya zito inafanya kazi

akili ndogo aiongozi akili kubwa; sasa wameanza kumuelewa zittoo.
Wamempeleka mnyika kaangukia pua.

Watu kama zito argument zao lazima ujipange; angalia anavyowapanga . Nchi nzima ukawa.

Out moja ya zito ; watu viti ofisini avikaliki.

Chezea zito ; habari ya mjiniiiiiiiiiiiiiiiiii

Ona sasa haya Mapakacha yalivyokuwa na Mahaba...!!!

Hivi wewe Pakacha pakachavu, aliyeitoa kauli ya Akili kubwa kuongoza akili ndogo ni huyo Bwana wako hapo??

Jiangalie sana ndugu yangu, hata kama ni kupenda huko kwako kumepitiliza..!!

Yaani ni sawa na mwanamke aliyelala na bwana wake, kwa kukosa utundu wa huyo bwana wake anavuta stim za bwana wake wa zamani ili afike hewani....!!!

Shida sana...!!!

BACK TANGANYIKA
 
Elimu ya Viongozi wa CHADEMA na wabunge wake:

1) Mbowe - Form 6 Failure

2) Mnyika - Form 6 Leaver

3) Sugu - Standard VII

4) Lema - Standard VII

5) Msigwa - Form IV Leaver

Ina maana hawa wote hawatakuwa na vigezo. Basi inabidi wagombee udiwani, au nao unataka shahada?

Hapo kiongoz umeongopa.......Ila sasa kama chama kina wafuasi wengi tusio na elimu na wenye elimu wengi kwenye chama ni wachaga sasa hapo si ndo mwanzo wa kuruhusu ukabila ambao hatuutaki kwenye uongoz wa chama.....
 
ona sasa haya mapakacha yalivyokuwa na mahaba...!!!

Hivi wewe pakacha pakachavu, aliyeitoa kauli ya akili kubwa kuongoza akili ndogo ni huyo bwana wako hapo??

Jiangalie sana ndugu yangu, hata kama ni kupenda huko kwako kumepitiliza..!!

Yaani ni sawa na mwanamke aliyelala na bwana wake, kwa kukosa utundu wa huyo bwana wake anavuta stim za bwana wake wa zamani ili afike hewani....!!!

Shida sana...!!!

Back tanganyika

umemaliza;
 
Watajaa wachaga maana ndio wengi wenye digrii.Sugu hana digrii kazi anayo na miwani yake ya jua anayovaa hata usiku wa manane.
Chama cha kibaguzi CHADEMA sijaona kwa hiyo wsio na digrii wanaruhusiwa tu kupiga kura sio kupigiwa kura? CHADEMA kwa hili imevunja katiba ya nchi ambayo mtu ana haki ya kupiga kura na kupigiwa kura.

Wale ambao hamjasoma na hamna digrii hamieni upesi vyama vingine nyie na wapiga kura wenu

Makabila mengine hayakukatazwa kusoma,Ndiyo nawazungumzia ndugu zangu makabila ya Pwani (Wazaramo,Wandengereko,Waluguru,nk).
 
Hilo gazeti ni la nani kwanza? maana isije ikawa yale ya Lumumba au pro-Lumumba....lakini kwa hoja hiyo ni nzuri ila nadhani hicho ni kigezo kati ya vigezo.

Ni yale yale yanayo anza kazi siku chache kabla ya uchaguzi na kufa baada ya uchaguzi kama CCJ na inakoelekea ACT. bila kujali ni ACT ipi. Mwisho wa kuwasikia ni baada ya Ocktober 25
 
Mbowe hawezi kukubali hayo mapendekezo.Na akikujua UMEKOMENTI HIVI HAPA NI LAZIMA UFUKUZWE UANACHAMA.MSALITI MKUBWA WEWE.

Sasa wewe Pakacha aliyeitoa hiyo kauli ya Wabunge kuwa na Shahada ni nani? Na kwanini iwe shida kwa Madiwani kuwa na Elimu ya Fom4 ikiwa wamekubaliana kwa Wabunge kuwa na Shahada?

Hivi kwanini mnaongea kanakwamba mtu aliyekalia kitu chenye ncha laini? Mmelemaa kiungo gani cha mwili nyie Pakacha??

Halafu toka imeanza hii Oparesheni Mapakacha huko Lindi naona kila siku akili zenu zinazidi kuwa na Matege, Hivi mnashindwa kupakachuana vizuri au nini?

BACK TANGANYIKA
 
gazeti la james rugemarila nazani huyu ameanzisha gazeti ili ajisafishe na tuhuma za ufisadi wa esrow na kuwachafua wote adui zake mwezi huu amekuwa bize na habari zake za kupika .gazeti halita pata kibali machoni mwa watanzania kwakua lina linda mafisadi na kuleta hila .
 
kina sugu, lema sijui msigwa kwishney

hapo ni Lema tu, tena ana Diploma.... Labda Kiwia.. Msigwa ana shahada ya OUT, Mbowe ana Advanced Diploma ya Biashara.......

Utaratibu mpya unasema Diploma na Kuendelea si vinginevyo..... Kwa hiyo hapo ni Highness Kiwia Tu ndo imekula kwake.
 
hapo ni Lema tu, tena ana Diploma.... Labda Kiwia.. Msigwa ana shahada ya OUT, Mbowe ana Advanced Diploma ya Biashara.......

Utaratibu mpya unasema Diploma na Kuendelea si vinginevyo..... Kwa hiyo hapo ni Highness Kiwia Tu ndo imekula kwake.

Bye-bye Mnyika
 
gazeti la james rugemarila nazani huyu ameanzisha gazeti ili ajisafishe na tuhuma za ufisadi wa esrow na kuwachafua wote adui zake mwezi huu amekuwa bize na habari zake za kupika .gazeti halita pata kibali machoni mwa watanzania kwakua lina linda mafisadi na kuleta hila .

Nadhani upo nje ya mada
 
wakati umefika wa nchi kuongozwa na watu wenye elimu ya kutosha ili kuweza kupata wabunge wenye uwezo wa kujenga hoja za msingi bungeni na uewela wa mambo ili kupunguza mipasho bungeni, na ndo maana chadema wameamua kuja na sera hii kuwa kila mbunge lazima elimu yake ianzie kiwango cha shahada ya kwanza na kuendelea.
Lakini naona sera hii wapo baazi wataumia maana wengine walizani watapata nafasi pasipo kujali elimu zao na wengini wamo ndani lakini sera hii ni mwiba kwao.

Naomba nifahamishwe nafasi ya 1, lema
2, mbowe

chanzo:gazeti la tiafa imara:
​
 
wakati umefika wa nchi kuongozwa na watu wenye elimu ya kutosha ili kuweza kupata wabunge wenye uwezo wa kujenga hoja za msingi bungeni na uewela wa mambo ili kupunguza mipasho bungeni, na ndo maana chadema wameamua kuja na sera hii kuwa kila mbunge lazima elimu yake ianzie kiwango cha shahada ya kwanza na kuendelea.
Lakini naona sera hii wapo baazi wataumia maana wengine walizani watapata nafasi pasipo kujali elimu zao na wengini wamo ndani lakini sera hii ni mwiba kwao.

Naomba nifahamishwe nafasi ya 1, lema
2, mbowe

chanzo:gazeti la tiafa imara:
​

Ukishajua iweje? Walijiendeleza and they all graduated
 
Back
Top Bottom