Recent content by ushashi

  1. U

    JamiiForums Tanzania Azam Media yapata haki za matangazo ya ligi kuu Kenya kwa Mkataba wa Miaka 7 wenye thamani ya Tsh. Bilioni 23

    Leo tar 31/8/2023 kampuni ya Azam media kupitia Azam sports imesaini mkataba wa kurusha matangazo ya Moja Kwa Moja ya ligi ya Kenya Kwa mkataba wa miaka Saba ( 7 ). Hii ni mwendelezo wa makampuni ya kitanzania ku-dominate maeneo nyeti ya kimkakati nchini Kenya na nchi zingine za ukanda huu wa...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyeandika /kushiriki uandikaji wa 'framework' ya mkataba wa DPW na Tanzania kwa uwekezaji wa bandari?

    Kitu Cha kwanza unachopaswa kujua kwenye mkataba wowote ni nani anamhitaji mwenzake kwanza, I mean " who aproched who"....ukishajua bas huna maswali Tena. Kama Tanzania ndo alimfata DP akiwa Kwake Dubai bas lazima akubali terms zake....Iko hivo hata kama ingekuwa ni wewe mtu anataka huduma Yako...
  3. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya waanzisha vita mtandaoni (Twitter) dhidi ya Watanzania

    Uchochezi Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  4. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila Odinga: Natarajia kukamatwa wakati wowote baada ya Kiongozi mmoja wa Upinzani kukamatwa

    Odinga anakera sana....
  5. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila na Makenzie wanaiendesha Kenya

    Odinga Kila analosema wanatii, hata aliwambia kesho msipige mswaki asee jamaa wanatii the same Makenzie aliwambia hakuna kula mpaka mfe na kweli wakatii na wakafa kweli, hahaaa nimehitimisha Wakenya wanaendeshwa na akili za wengine, wanapenda kuiga mambo ya wengine, Lugha na tamaduni za wengine...
  6. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi huku magari yakichomwa moto kutokana na maandamano

    Huyo Raila Odinga alisema kesho Wote msipige mswaki asee wakenya watafyata..... mwingine aliwambia wafunge Hadi wafe na wakafa kweli....Hawa jamaa ni binadamu mbegu Gani?
  7. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waziri Murkomen aahidi adhabu kali kwa uharibifu uliofanyika kwenye barabara ya 'Nairobi Expressway'

    Kingereza kingi akili zimeshikiliwa na mjaluo mmoja ....Bure kabisa....Kila cku wanabeba sufuria wnalilia unga.... Wakenya nani kawaroga ?
  8. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi huku magari yakichomwa moto kutokana na maandamano

    WAKENYA akili zimeshikwa na mtu mmoja....they can't even think
  9. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wamkamata Mzee aliyekuwa akipaka Maparachichi rangi kuwadanganya wanunuzi

    Si wanasemaga Kenya inaongoza Kwa kulima na kuuza maparachichi ukanda wetu....Leo imekuwaje
  10. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya hawaheshimiani

    Hakuna mkubwa , hakuna Cha mtoto, hakuna kiongozi Wala Nini....Kila mtu mjuaji....nchi haitawaliki.Siasa mpaka makanisani....vurugu, mabomu, KERO Kila mahali, Hali mbaya ya maisha, vitu bei juu... chakula hakuna. Hakuna umoja wa kitaifa yaani kila mmoja kimoango wake. Hakuna Cha president Wala...
  11. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya mnataka nini kwani?

    Kila siku maandamano na sufuria kichwani wakiomba Ruto awape unga wakapige ugali....umesikia wapi Duniani? Hakuna nchi yoyote Duniani serikali inagawa chakula isipokuwa majukumu ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi raia wafanye kazi wapate unga...na sio kuandamana. Huyo Raila Odinga wenu...
  12. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya mnataka nini kwani?

    Mlitaka katiba mpya mkatengeneza, mkataka uchaguzi uwe free, fair and transparent na ikawa hivyo na Dunia nzima ikawasifia wakenya Kwa uchaguzi digital, Ruto akashinda, Odinga akaenda mahakamani akapigwa chini Kwa ushahidi wa wazi kutokana na mahakama ilikuwa live on TV's, Serikali ikaingia...
  13. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

    Sielewi wakenya wanataka nn hasa...Kila kitu kwao hawataki, hawapendi....so at the end of the day watabaki wanajichukia na kuanza kujiua wenyewe Kwa wenyewe. Haya maisha hayako sawa....expect no equality in this life, better love yourself,love your neighbor, never envy anyone....you will live...
  14. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni raha sana kuangalia taarifa ya habari TV za Kenya

    Kuna kitu inaitwa " the explainer" inaleta na mdada anaitwa Ivoner matore....asee ni babkubwa
  15. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni raha sana kuangalia taarifa ya habari TV za Kenya

    Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani. Kwa mfano jana ilikuwa siku ya uwasilishaji wa Bajeti ya nchi Bungeni, media za Kenya zimepresent excellent, yaani mlaji anaelewa...
Back
Top Bottom