Maandiko yanasema, "mlee mtoto katika njia ya Bwana, naye hataiacha hata akiwa mzee". That means kuku wa kisasa 'ukimlea' kwa njia za kienyeji tangu akiwa mdogo atazoea pia kujitafutia akiwa 'mtu mzima'.
Kwa maelezo zaidi mtafute mtu humu anajiita 'kuku mdogo'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.