Mke wa mtu ananiomba niwe hawara wake

Mke wa mtu ananiomba niwe hawara wake

Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe awala wale ananitumia picha zake za uchi, juzi mumeo ameona txt zng ananiomba niachane na mkeo ila mkeo ananilazimisha mpaka amemua kutumia simu ya ndugu yake ili mumeo asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?

duh...kuna tatizo kubwa sana Tanzania.....what is going on...vijana wamekuwaje these days
 
andika vizuri halafu acha huo mchezo. Magu amekataza vilainishi ujue.

nimetumia tu akili kuelewa ila msg yako haileweki vizuri. au ndo ushakamatwa na mwenye mali? maana waweza sahau kuandika vzr
umeona ee? hahahha mumeo badala ya mumewe? awala??? ewww. ni HAWARA...
 
hahahahahha jaman jaman, utakuja vunja ndoa ya mutu ujue.
hahahha. na ivunjike tu..sometimes hawa wanaume hwna maana. pngine hyo mke hapti chchote kwa mumewe si mapnzi wala kuhudumiwa much wrse utakuta hamfnyi ajiskie mkewe kwa maneno mazuri na kumpa kipaumbele katka mambo kadha wa kadha.
 
Kwa hii lugha uliyotumia hapa, hakuna ubishi kwamba wewe ni mgeni wa hili taifa.Mimi nasema mgeni karibu sana, ila vilainishi haviruhusiwi hapa TZ...kila la kheri kwa huyo mke wa mtu.
Kweli Mkuu nimeona is typing error
 
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe hawara wake ananitumia picha zake za uchi, juzi mumewe ameona txt zangu ananiomba niachane na mkewe ila mkewe ananilazimisha mpaka ameamua kutumia simu ya ndugu yake ili mumewe asijue, ila Mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyaje ili anielewe bila kunichukia?

Sasa wewe mwenye mke kakatama tayari massage zako na kakuonya uacha tabia zako za kufata fata mke wake, wewe bado unakuja huku kutafuta ushauri !! KIPI HUJAELEWA?
 
Hainaga ushemeji kula tu Mkuu hawa wameumbwa kwa ajiri yetu mie mwenyewe ninae mmoja nampakuaga kama sina akili nzuri
Ila Mkuu me naogopa xn kula nahic naweza nitokea km ile ishu ya temeke km ulisikiaga watu kunasana
 
Mke wa mtu sumu na ky zimepigwa marufuku shauri yako we jifanye anakuladhimisha yakikukuta ulud tena kutoa ushuhuda
 
kaa nae mbali huyo yasije mke wa mtu sio wa kujenga nae urafiki kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom