Recent content by Uruvi

  1. U

    Mramba na Yona kutumikia kifungo cha nje. Kufanya usafi hospitali ya Palestina, Sinza

    Adhabu inawatosha, tujifunze kuwahurumia wenzetu
  2. U

    Kubenea apandishwa Mahakamani leo

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kama ambavyo imeripotiwa kwenye vyombo vya habari na njia zingine za upashanaji habari tangu jana kuwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA, Ndugu Saed Kubenea aliwekwa chini ya ulinzi na kuamriwa kwenda kituo cha polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya...
  3. U

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Na aende tu,walioingia kundini wanatisha.Ni wengi mno kuliko yeye kuondoka
  4. U

    Naiona Simanjiro Mpyaaaaa

    Hakika nenda kamanda tuko nyuma yako kwa maombi na support zozote
  5. U

    Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

    Chama chochote kikisimamiwa na maharamia kitaanguka tu!
  6. U

    Ratiba ya Kumtambulisha Lowassa kwa wananchi

    Lazima adui aadhibiwe kwa makosa aliyowafanyia watanzania kwa zaid ya miaka 50........tarehe 25 october CHINJA hadharani
  7. U

    Lazaro Nyalandu, ni wakati wako kujiuzulu sasa

    Nyalandu anashirikiana na majangili mengine mengi ya ccm kuvuna tembo wetu bila huruma. Nashangaa wananchi kumpitisha mshirika mkubwa wa majangili
  8. U

    Msimamo wa Lipumba uheshimiwe; Dr. Benson Bana ni fedheha kwa PhD Holders...

    Kweli Lipumba amekaa na CUF 16 yrz lakini badala ya chama kukua kinazidi kudidimia tu. Bora aondoke tu aje mwingine mwenye maono angavu akijenge chama kwa nguvu zote. Prof alikua anaendesha chama kizee sana na nachelea kusema huenda alikua anaihusudu sana CCM Hakuna kulala.Mabadiliko ni sasa
  9. U

    Serikali ya Kikwete imefanya jitihada kubwa ya kuimarisha usafiri wa anga nchini

    Nimeona hadi aibu kucomment.........eti sekta ya anga imeimarika!!!!!
  10. U

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Huduma zenu kwa wateja zimekaa kimatangazo zaidi. Mtu akifika hahumiwi ipasavyo. Pia unakuta kuna teller window nyingi ila wähudumu hamna ndani matokeo yake folen inakua ndefu na isiyosogea
  11. U

    CCM tumefikaje hapa tulipo?

    Lemutuz umetisha Baba mkubwa wangu......kweli wewe digrii 3 Siyo ushabiki wala kutafta nafasi za kisiasa ila umezungumza ukweli ambao wengi hatutaki kuusikia.Viva William
  12. U

    Lowassa mizunguko ya kutafuta wadhani, Kampeni amewekeza na Afya yake

    Msijisahau jamani hata Nyerer angekuja kugombea leo hawezi pata
  13. U

    Sichafuki kwa uongo, na uzushi kama huu ni wa kupuuza

    Pole Mwigulu,tatizo mmezoea kutumia gar za STL ktk safar zenu binafsi ndio maana yanawapata haya sasa
  14. U

    Matumizi ya gari la Serikali kusaka udhamini ni tendo halali?

    Tanzania Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo woteeeee........hakuna lisilowezekana TZ
  15. U

    Monduli kielelezo cha kushindwa mbinu za Lowassa

    Pointless....Monduli kwetu hapako hvyo licha ya kwamba ni porini....Mbona Dar umeme huwa unakatika siku au hata cku 2??Monduli kwetu tunaogea maji ya baridi ili kujiweka fiti zaidi.Siku ingine omba unyooshewe nguo
Back
Top Bottom