Recent content by urio f

  1. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Mkakati wa kuwatambua uanze sasa
  2. U

    Wapambe na Mashabiki wa Makanikia Mnaharibu Mambo!!!

    We maneno mengi Lakini hakuna kitu
  3. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    CHADEMA hakiendekezi ukabila
  4. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Ushauri wangu unafaa halafu unasema sina busara?
  5. U

    Prof. Tibaijuka katika ubora wake

    Lissu asikilizwe nn kwa ushauri huo mbaya
  6. U

    Askofu Gwajima naamini sasa utakuwa umeona aina ya Spika uliekuwa unamtetea

    Kwa utovu huo wa nidhamu alioonesha Mnyika,alistahili adhabu
  7. U

    Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika

    Mnyika alistahili adhabu hiyo
  8. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Lakini hawezi kuupata urais kupitia CCM.Hata naamini anajua.
  9. U

    Elimu: Hoja sio ubovu wa mkataba bali hoja ni wizi unaofanywa na muwekezaji!

    Wewe bado unamsikiliza huyu.Kwanza hana hekima wala uzalendo.Amejaa ubishi na kujiona anajua kila kitu.
  10. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Mimi naamini Lissu hatatusaidia sana kuchota watu toka CCM 2020.Yeye tumwandae kwa baadaye zaidi.Umri wake bado unaruhusu.
  11. U

    Elimu: Hoja sio ubovu wa mkataba bali hoja ni wizi unaofanywa na muwekezaji!

    Lissu ni mtu aliyekosa hekima na uzalendo.
  12. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Ni maoni yangu tu.Lakini ni vizuri tuanze kuandaa mtu.
  13. U

    CHADEMA tumuandae Membe kugombea urais 2020

    Mzee Lowassa amechoka na hana mvuto tena kwa wananchi kama mwaka 2015.Napendekeza Membe aanze kufuatiliwa kuona kama atakuwa tayari kujiunga na CDM.Membe kwa sasa ni mtaji mkubwa kwa CDM.Najua kina Nape,Kikwete,Ghasia,Wenyeviti na makatibu wa CCM walioachwa na CCM na wengine wengi watamuunga...
Back
Top Bottom