Mimi niwe member wa familia hiyo😀😀😀..?? (Nisingeandika uzi wa kupewa connection ya wavaa suti na mawani)..... Izo ni imani na fikra zako mkuu ....mimi upande wangu naona yuko njema..na hilo hata shetani hawezi kubadili
HUenda ni tofauti ya kimitizamo..mimi nasimamia hapo..na issue ya jakaya kuweza kuhandle wapinzani at the same time anatoa ajira kila mwaka...lakini wakati huo huo siasa za kimataifa yuko njema..na hela mtaani iko...wafanyakazi stahiki zao zote walikua wanapata kwa wakati...je nani aliyewahi...
NIkicheki mzee alivyopokea matokeo mwaka huo 95 nagundua kwamba emotional intelligence yake iko juu sana tena kipindi hicho akiwa chalii kabisa.
HIyo video ya pili ninalivyokua akideal na upinzani.
Hivi kabisa mbinu zake hizi kwa sasa kwanini hawazitumii??
Pia nikikumbuka alivyomjibu kagame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.