Gwiji la siasa mzee jakaya

Gwiji la siasa mzee jakaya

URA WAZA

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2025
Posts
416
Reaction score
807
NIkicheki mzee alivyopokea matokeo mwaka huo 95 nagundua kwamba emotional intelligence yake iko juu sana tena kipindi hicho akiwa chalii kabisa.
HIyo video ya pili ninalivyokua akideal na upinzani.
Hivi kabisa mbinu zake hizi kwa sasa kwanini hawazitumii??

Pia nikikumbuka alivyomjibu kagame kipindi kile huenda ningekua mimi ninge deploy jeshi na kuleta madhara makubwa kipindi hicho.

Hivi mzee kikwete alijifunzia wapi siasa ??,kiasi cha kwamba mwaka 1995 akiwa mdogo matokeo yanatangazwa na yuko sawa emotionally na anamuunga mkono mgombea mwenza huku akiwataka mashabiki wake nao wamuunge mkono aliyechaguliwa.
Je hivi kama ni chuo cha uongozi sasa hivihakipo??

Wabishi camp wote walikua wanakaa chini kipindi cha jakaya na walikua kiroho safi nchi inakwenda.

SIo kwamba mimi nna akili au nna emotional intelligence kama ya jk, ila i wish i could be like him in handling difficult matters.


Pwetelea pwete mi ingekua amri yangu kikwete miaka ijayo angerudi tena
 

Attachments

  • GoTEViwNsGrMCkXg.mp4
    2.8 MB
  • 5a066698b00f24b08aeb74a82debf8a5_1788689751473.mp4
    10.6 MB
Sifa za kijinga ..mtu mjinga mjinga akisifia ujinga wa mjinga mwingine
HUenda ni tofauti ya kimitizamo..mimi nasimamia hapo..na issue ya jakaya kuweza kuhandle wapinzani at the same time anatoa ajira kila mwaka...lakini wakati huo huo siasa za kimataifa yuko njema..na hela mtaani iko...wafanyakazi stahiki zao zote walikua wanapata kwa wakati...je nani aliyewahi kufikia kipimo hiko ikiwa jk ndio SI unit ya utu na maendeleo Tanzania??? Je nani anaweza kuvaa viatu vyake??..
 
Hopefully huyu member wa familia kaona ule uzi mwingine kaja kuneutralize kdg mambo ya baba hapa kwa niaba ya ukoo, tuambie na alitokaje CTU kwa Sayore...

Gwiji wa siasa aliyeanzisha mchakato wa katiba kwa kuiba hoja ya upinzani then akarudi mwenyewe na fitna zake kuuharibu, mnafiki sana huyu mzee, akitutoka nchi huenda itaanza kurudi ilipokuwa. Kila uchafu na dilution ya profesionalism ilianzishwa na huyu na mkewe! Eti gwiji..
 
Huyu mzee nilikua namkubali lakini nilivyokuja kugundua yaliyo nyuma yake ni hatari kitu pekee jakaya kajaliwa ukipata chance ya kukutana nae una shida lazima upate msaada
 
Hopefully huyu member wa familia kaona ule uzi mwingine kaja kuneutralize kdg mambo ya baba hapa kwa niaba ya ukoo, tuambie na alitokaje CTU kwa Sayore...

Gwiji wa siasa aliyeanzisha mchakato wa katiba kwa kuiba hoja ya upinzani then akarudi mwenyewe na fitna zake kuuharibu, mnafiki sana huyu mzee, akitutoka nchi huenda itaanza kurudi ilipokuwa. Kila uchafu na dilution ya profesionalism ilianzishwa na huyu na mkewe! Eti gwiji..
Mimi niwe member wa familia hiyo😀😀😀..?? (Nisingeandika uzi wa kupewa connection ya wavaa suti na mawani)..... Izo ni imani na fikra zako mkuu ....mimi upande wangu naona yuko njema..na hilo hata shetani hawezi kubadili
 
Back
Top Bottom