Recent content by Uprising

  1. U

    Msaada: kusafirisha mzigo kutoka USA

    Posta EMS ni wazuri. Mzigo USA Siku 10 na bei nafuu kuliko DHL
  2. U

    Hili ndiyo gari linalotakiwa kuruhusiwa kuendeshwa Tanzania na Wanaume!

    Gari kubwa lakn iko chini km balloon ....
  3. U

    Mtangazaji Sam Mahela acha kutingisha kichwa unapomaliza kutangaza

    Mimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake. Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam
  4. U

    Zitto Kabwe asoma kitabu kimoja na kukimaliza kila wiki 2016

    Hata waandishi huwa wanasoma sana vya wengine. Siku 1 ataansika naamini
  5. U

    Huyu sio tozi wa Dar

    Sasa hiyo bukta yake umeiona?
  6. U

    Profesa Kitila Mkumbo jaribu kuchambua vitu kwa usahihi

    Nimeshangaa kitila anasema kwanini Lowasa na CHADEMA imeshindwa kwenye uchaguz lakin hakugusia kwanini ACT imeambulia asilimia 0. Something kwenye uchaguzI huu. Anasema CHADEMA walipuuza utafiti wa kisayansi wa TWAWEZA na IPSO na badala ya kuushughulikia waliuponda ndo maana wameshindwa swali...
  7. U

    Profesa Kitila Mkumbo jaribu kuchambua vitu kwa usahihi

    Wakati nasoma huo uchambuzi sikufikiria hata kidogo kwamba anayechambua ni Prof, tena wa Chuo Kikuu cha Daresalam. Anasema kwamba ushindi wa Magufuli ulitabiriwa kisayansi na taasisi mbili alizozitaja hapo juu na kukazia kwamba UKAWA ilipuuza hizo tafiti, hapo sidhani kama huyu prof alifuatilia...
  8. U

    Profesa Kitila Mkumbo jaribu kuchambua vitu kwa usahihi

    Ni hoja ya kitoto na ya kichekesho kutolewa na Profesa: kusema July 30 Lowassa alisema Uzuri wa CCM na akaisifia kwahiyo watu wa vijijini wakashika alichosema Arusha July 30 na sio ubaya wa CCM aliouelezea kwenye kampeni. mambo ya kujiuliza ni jee, watu wa vijijini wangapi walikuwa Arusha...
  9. U

    Saa na Cheni za Gold nitapata wapi hapa Dar?

    Nenda Bablas - house of watches askari monument
  10. U

    Diamond Platnumz ni fundi

    Mi nafkr kila mtu anafanya anachoweza, yeye amejikita kwenye nyimbo za mapenzi, haina sababu kumlazimisha afanye ambazo hawezi. Remmy alikuwa anaimba nyimbo za vifo vifo, Sugu nyimbo za harakati, mr. Nice vibwwagizo vya mtaani. n.k. Kimsingi ni vizuri pia kuwa amejipambanua.
  11. U

    Kegel exercises for men

    Anachosema Kertel ni sawa katika kutambua msuli huo. Hata hivyo zoezi halipaswi kufanywa wakati una mkojo haishauriwi kwa afya ya mfumo wa mkojo
  12. U

    Revealed: Dr. Kigwangalla kanakili hotuba nzima ya Obama ya mwaka 2004 aliyoitoa Boston

    Sishangai sana kwa dr. huyu kufanya hivi. Wakati wa bunge maalumu akiwa anawasilisha taarifa ya kamati yake alinukuu speech ya Issa Shivji yote akitumia kama maneno yake. Kilichonishangaza juu ya uwezo wake ni kamba speech hiyo tulikuwa tumeisoma kwenye gazeti siku chache zilizopita lkn yeye...
  13. U

    KITABU; Kwa Nini Wewe Ni Mjinga, Masikini Na Mgonjwa(Why You’re Dumb, Sick And Broke)

    Sasa Jamani hii spirit imetoka wapi mpaka tutume email zetu halafu iweje, kwanini usibandike tu hapa wote tupakue. Bila shaka email zetu ni kwa ajili ya kupokea utitiri wa emails za matangazo. Karibuni mpakue wahitaji. Mia
  14. U

    Mafuta ya massage

    Salama wapendwa. Niwaombe msaada wapi naweza kupata mafuta mazuri ya massage humu Dar? Natanguliza shukrani
  15. U

    Hotuba ya Rais Kikwete, Bungeni Dodoma - Novemba 07, 2013

    Ila jamani mhe raisi ni legelege sasa hapo mbali na kusema hatujitoi ametoa msimamo gani jamani kweli. Afadhali hata kauli ya Sitta ilikuwa ina msimamo na uelekeo. Anyways sijui
Back
Top Bottom