Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 534
jembe fanya mpango umtombe huyo mtoto
Mbona siwaelewi jamani???? Nahitaji kujuzwa zaidi. Fafanueni jamani kwa faida yangu na wengine wasiojua hili.
shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ina maana zoezi linafanyika wakati wa kukojoa au!
Mbona siwaelewi jamani???? Nahitaji kujuzwa zaidi. Fafanueni jamani kwa faida yangu na wengine wasiojua hili.
....Nenda chooni wakati wa haja ndogo...ukishaanza kushughulika bana mkojo kwa muda utakaoweza, kisha endelea tena kwa muda mfupi unaubana tena hivyo hivyo mpaka unamaliza. Ukimaliza zoezi hili utafahamu ni muscles zipi katika mwili wako ambazo ulikuwa unatumia ili kuubana mkojo. Ukishafahamu hivyo basi zoezi hilo la Kegel linaweza kufanyika wakati wowote ule ukiwa unaendesha gari, ndani ya daladala, taxi, umekaa kwenye kiti/kitandani huku unachungulia JF n.k...Nadhani nimeeleweka.
Soma hapa chini labda itasaidia
Njia Rahisi Ya Kuifanya "K" Iwe Tight (Ibane)
Anachosema Kertel ni sawa katika kutambua msuli huo. Hata hivyo zoezi halipaswi kufanywa wakati una mkojo haishauriwi kwa afya ya mfumo wa mkojo