Mie Nadhani mtoa mada yupo makini kwenye mada yake amekosoa kila mmoja. Mnakumbuka issue David Jairo aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini kule bungeni Dodoma alipotuhumiwa kuwahonga wabunge wapitishe bajeti Wizara yake. Waziri Mkuu Mizengo Pinda alishindwa kumwajibusha kwa kuwa ni mteule wa...
Wewe kudharau ualimu hata huyo Lisu wako asingefika hapo bila mwalimu, na kama hujui nchi imeongozwa na watatu hadi na haijawahi kuongozwa mwanasheria, wengi wao hawawezi uongozi sababu uongozi hasa kwenye ngazi ya urais kuna mambo mengi hasa za kisiasa. Ni Tanzania tu wanasheria wanaingia...
Jamani tusikurupuke wakati tunajibu mada, mleta ametoa sababu kama za conflict of interest kwa kuwa ni mwanachama na kiongozi wa chama siasa, sasa kawauliza he ataweza kumtetea wa upande mwingine? Kuhusu kuchaguliwa wanasheria wasomi inawezekana hata wao wamefuata mkumbo tu, ni binadamu ambao...
Inawezekana hata wewe na huyo Mtundu Lisu mlifundishwa na huyo huyo mnayemwita sio msomi. Imefikia watu kuwakataa waliowatoa tongo tongo, basi hata mama yako wa kukuzaa ukamtaa. Ama kweli siasa ni ukichaa, ndio maana mnabadilishia gear angani!!!!
Hivi unavyofikiri wewe kwani hawajui, tena wao ndio wanaompa habari zote na wanafurahi kila wanalopeleka boss wao yanafanyiwa kazi. Hao CHADEMA, ndio uozo uliopitiliza. Nikuambia wewe mbumbu hii nchi hakuna cha upinzani cha kuongoza nchi hizo ni vijiwe vya watu kuwasukumia maisha. Labda...
Poleni wadugu, si mlisema JK legelege na akaona kilio chenu akawapatia ngangari na ngunguri ili awatie adabu mlimzoea JK mkileta zenu anawaita Ikulu mnakunywa juisi. Ila si wakumfananisha na Mamvi huyo ndio balaa angekuwa anaua kimya kimya hataki usumbufu.
Hapo wala usiilaum CCM ni vyama vyote vya Tanzania, tena huku upande pili ndio kabisaa, mara tumebalishia gia angani, yaani kwa kifupi tu maamuzi mtu mmoja tu, kule kuita sijui mkutano mkuu ni kama kutimiza wajibu tu. Tena afadhali hao wa kijani angalau wanafauta taratibu za kidemokrasia hata...
Mimi nilitegemea mchungaji kama hata amekosewa angesamehe tu lakini wapi, inasikitisha sana mchungaji kuwa na visasi, kumbe Yale maandiko ya MUNGU yanaelekea kutimia " kuwa mwisho wa dunia watatokea wachungaji wengi uchwara" kama akina Gwajima. Hivi hata hao waumini wake kweli wanaakili nzuri...
Hivi lipi geni hapo kwa CCM kubadilisha katiba yao kuwa mtu mmoja cheo kimoja badala ya mtu mmoja kukumbatia vyeo kibao. Halafu la kuwafukuza uanachama leo Chadema mmesahau kuwa mliwafukuza uanachama madiwani zaidi ya watano wa Arusha, haikuishia hapo mkamvua uanachama Zito, Mwigamba na Kitila...
Nadhani wenyewe wanasikia, tunategemea wataitendea haki mawasiliano, na uzuri wao hawahitaji kujenga minara mingi kwa wana minara karibu nchi nzima ni kiasi kuiongezea uwezo tu. Hata wa Litimbandiose watapata mawasiliano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.