Recent content by upepomkali

  1. U

    Uvamizi Clouds: Mkuu wa Mkoa, Nape, Clouds Media na kamati ya Nape wana makosa

    Mie Nadhani mtoa mada yupo makini kwenye mada yake amekosoa kila mmoja. Mnakumbuka issue David Jairo aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini kule bungeni Dodoma alipotuhumiwa kuwahonga wabunge wapitishe bajeti Wizara yake. Waziri Mkuu Mizengo Pinda alishindwa kumwajibusha kwa kuwa ni mteule wa...
  2. U

    Lissu: Mfalme mmoja amethibisha kuwa yeye hakuchaguliwa bali amefikia ufalme huo kwa bao la mkono

    Wewe kudharau ualimu hata huyo Lisu wako asingefika hapo bila mwalimu, na kama hujui nchi imeongozwa na watatu hadi na haijawahi kuongozwa mwanasheria, wengi wao hawawezi uongozi sababu uongozi hasa kwenye ngazi ya urais kuna mambo mengi hasa za kisiasa. Ni Tanzania tu wanasheria wanaingia...
  3. U

    Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

    Jamani tusikurupuke wakati tunajibu mada, mleta ametoa sababu kama za conflict of interest kwa kuwa ni mwanachama na kiongozi wa chama siasa, sasa kawauliza he ataweza kumtetea wa upande mwingine? Kuhusu kuchaguliwa wanasheria wasomi inawezekana hata wao wamefuata mkumbo tu, ni binadamu ambao...
  4. U

    Mimi ni wakili na pia ni mwana TLS na pia sipendi siasa ziingie kwenye mambo yetu,Wakili Msomi

    Inawezekana hata wewe na huyo Mtundu Lisu mlifundishwa na huyo huyo mnayemwita sio msomi. Imefikia watu kuwakataa waliowatoa tongo tongo, basi hata mama yako wa kukuzaa ukamtaa. Ama kweli siasa ni ukichaa, ndio maana mnabadilishia gear angani!!!!
  5. U

    Tuliosoma Songea Boy's RUVUMA tufahamiane

    Kusilawe Chenga ni marehemu sasa
  6. U

    Tuliosoma Songea Boy's RUVUMA tufahamiane

    Haya hongera vijana, mimi nimesoma box 2 kuanzia 1979 hadi 1982 O level nilikuwa Muungano 5 wakati huo Mkuu wa shule akiwa Mwl Adrian Komba (Kizito).
  7. U

    CHADEMA laleni na kushinda macho: fanyeni press conference now ya kutetea wanyonge

    Hivi unavyofikiri wewe kwani hawajui, tena wao ndio wanaompa habari zote na wanafurahi kila wanalopeleka boss wao yanafanyiwa kazi. Hao CHADEMA, ndio uozo uliopitiliza. Nikuambia wewe mbumbu hii nchi hakuna cha upinzani cha kuongoza nchi hizo ni vijiwe vya watu kuwasukumia maisha. Labda...
  8. U

    Kesi za kuzuia uchaguzi TLS zatupiliwa mbali na Mahakama Kuu, uchaguzi uko pale pale

    Watu kama nyie mnaovujisha siri za serikali ndio tunaowatafuta, na za mwizi kumbuka arobaini tu.
  9. U

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    Poleni wadugu, si mlisema JK legelege na akaona kilio chenu akawapatia ngangari na ngunguri ili awatie adabu mlimzoea JK mkileta zenu anawaita Ikulu mnakunywa juisi. Ila si wakumfananisha na Mamvi huyo ndio balaa angekuwa anaua kimya kimya hataki usumbufu.
  10. U

    CCM WANAWEZA KUPITISHA KATIBA HII??

    Hapo wala usiilaum CCM ni vyama vyote vya Tanzania, tena huku upande pili ndio kabisaa, mara tumebalishia gia angani, yaani kwa kifupi tu maamuzi mtu mmoja tu, kule kuita sijui mkutano mkuu ni kama kutimiza wajibu tu. Tena afadhali hao wa kijani angalau wanafauta taratibu za kidemokrasia hata...
  11. U

    Tuseme tu ukweli wewe hapo ulianza kutumia ipi mojawapo kati ya hizi

    Kuna Philips savy, ktk orodha yako kama hakuna basi hakuna size yangu hapo
  12. U

    Gwajima anaendelea kumshikia bango Makonda, adai amekimbia nchi kama Magufuli alivyotabiri

    Mimi nilitegemea mchungaji kama hata amekosewa angesamehe tu lakini wapi, inasikitisha sana mchungaji kuwa na visasi, kumbe Yale maandiko ya MUNGU yanaelekea kutimia " kuwa mwisho wa dunia watatokea wachungaji wengi uchwara" kama akina Gwajima. Hivi hata hao waumini wake kweli wanaakili nzuri...
  13. U

    DODOMA: Bashe, Malima na Musukuma mbaroni wakidaiwa kupanga kuhujumu vikao vya CCM

    Kwa kuwa ni makubaliano ndani kamati ya chama, waachiwe wenyewe mbona hawakulalamika mwanzo kabla uchaguzi.
  14. U

    DODOMA: Bashe, Malima na Musukuma mbaroni wakidaiwa kupanga kuhujumu vikao vya CCM

    Hivi lipi geni hapo kwa CCM kubadilisha katiba yao kuwa mtu mmoja cheo kimoja badala ya mtu mmoja kukumbatia vyeo kibao. Halafu la kuwafukuza uanachama leo Chadema mmesahau kuwa mliwafukuza uanachama madiwani zaidi ya watano wa Arusha, haikuishia hapo mkamvua uanachama Zito, Mwigamba na Kitila...
  15. U

    Line za TTCL

    Nadhani wenyewe wanasikia, tunategemea wataitendea haki mawasiliano, na uzuri wao hawahitaji kujenga minara mingi kwa wana minara karibu nchi nzima ni kiasi kuiongezea uwezo tu. Hata wa Litimbandiose watapata mawasiliano.
Back
Top Bottom