Wakuu habarini
Ninatatizao la ukuta wangu mara kwa mara unabanduka banduka rangi,
Kama picha inavyo iyona hapo, tatizo liliianza kwamba niliinunuwa nyumba tayari ishapigwa plasta, , nikaamua kupiga skiming na baadae nikapiga rangi,baadae kuna mtu aliniambia kwamba usingepiga skiming ungepiga...