Recent content by upele

  1. upele

    Zitto: Suala la Mtwara ni zaidi ya Gesi asilia - Kutumia nguvu ya dola sio njia pekee ya Amani

    ni kweli zitto amesema ila serikali najua wameamua kuziba masikio ila watu wa mtwara sio wajinga kama wanavofikia siku yao itafika na sio kesho ni leo
  2. upele

    On Mtwara: Kikwete, Muhongo na Bunge - Mnayakumbuka haya?

    NAAAPA GASI HAITOKI MTWARA HATA KAMA YEYE NI MKERE NASI NI WAMAKONDE SASA TUTAONA KAMA SIE TULISAIDIA KUPATA UHURU WA INCHI HII BASI HAWEZI KUTUFANYA WAJINGA MARA HII r.i.p jk and ccm
  3. upele

    Jery Muro wa TBC anusurika kupata kichapo mjini Mtwara kutokana na sakata la gas.

    na hakome huku ni kazi kwa kwenda mbele na tunasubiria siku ya ijumaa taarifa ya wizara ya nishati na madini GAS KWANZA
  4. upele

    Gesi: Tishio jipya Mtwara, wadai Pinda hakuweka bayana walichokubali

    we acha tu kama yeye amedanganya na jk wake kwa kweli tunajipanga kwa kila kitu hama zao hama zetu mwaka huu hawawezi kutufanya wajinga kwa mara nyingine na wanae mkao wa kula gas kwanza uhai baadae
  5. upele

    kwa aliyetayari kua mume wangu

    toa mwasiliano
  6. upele

    Wasifu mfupi wa marehemu mtarajiwa 2015

    MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biashara:pamba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda...
  7. upele

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Ngamogwa kinyeremeleeani---uds 1986
  8. upele

    Dada zetu noma!

    Hapo na close da deal kabisa
  9. upele

    Lulu nje kwa dhamana vipi shekh ponda na wenzie kunanini hapo

    Wakati lulu akiachiliwa kwa dhaman ana ponda kuendelea kusota jela na mahakama kushindwa kutoa maamuzi ya kina kuhusu kosa la ponda je hii imekaaje wana jf, mbona tunataka tufika siko na kufanya waislamu waonekane wabaya "ponda aachiliwe kosa lake halijulikani na lulu nae vipi"
  10. upele

    Tamko la Shura ya Maimam iliyoitolewa ktk sala ya Ijumaa ya leo kupinga upotoshaji wa Waziri Mkuu

    amechemka pinda ni kweli hayo yote ila cha muhimu ni kuona power plant ya 300mw mtwara na viwanda walivoahidi na sio vinginevo pia tuangalie sana muda wao wa kuwa madarakani na hili wanalilitaka kulifanya isije ikala kwetu. MAPAMBANO YANAENDELEA :MTWARA KWANZA GAS KWENDA DAR BAADAE"
  11. upele

    Picha - Pinda - Nchimbi - taswira huongea zaidi

    Wanakula per dm hao tu hawana jipya kama kweli wangefanaya palee uwanjani kwetu wakakiona cha moto "uchawi sio kuroga mchana ajaribu usiku"
  12. upele

    Pinda,jk,ghasia,mkuchika hiki ndiyo kinawachanganya kuhusu gesi ya mtwara

    Kutokana na msimamo wa wana mtwara na lindi msimamo wao na madai yao ya msingi na kuoneka serikali ina nia ya kuwataka kutia changa la macho kwa wana mtwara -lindi,na kufanya kusahau ahadi walizozitoa hapo awali na kupelekea kutoeleweka daima, "gas kwanza maneno baadae"
  13. upele

    Wana Mtwara waishio Dar na watani zao kukutana Mwembeyanga kuhusu gesi kesho

    Wewe waweza kuwa mpotoshaji wa kukodiwa maana unayoyasema maanayake unayo moyoni mwako. Haya kwa vile walaji wa umeme wakubwa wako Dar Kwa nini Mtera haikuleta maji Dar na badala yake imeleta umeme. Kusini hawadanganyiki tena kaa usubiri. Bora gas ibaki ardhini kuliko gas ghafi ipelekwe Dar.
  14. upele

    Barua Kwa Rais Kikwete Kuhusu Mtwara

    Pamoja na kuwa na mengi ya kuongea kuhusu comment yako, napenda kwa sasa niseme tu kuhusu hapo kwenye red. Moja ya sababu ambazo serikali inatoa ili kuhalalisha kutoa gas Mtwara kwenda Dar ni gharama kubwa ya kujenga Mtambo wa kuzalisha umeme na kusafirisha umeme kwenda grid ya Taifa. Wananchi...
  15. upele

    Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP waelekea Mtwara kusaka suluhu!

    aje tupo kuna mshale kwa ajili yake, akilia tu analishwa pili pili
Back
Top Bottom