NAAAPA GASI HAITOKI MTWARA HATA KAMA YEYE NI MKERE NASI NI WAMAKONDE SASA TUTAONA KAMA SIE TULISAIDIA KUPATA UHURU WA INCHI HII BASI HAWEZI KUTUFANYA WAJINGA MARA HII
r.i.p jk and ccm
we acha tu kama yeye amedanganya na jk wake kwa kweli tunajipanga kwa kila kitu hama zao hama zetu mwaka huu hawawezi kutufanya wajinga kwa mara nyingine na wanae mkao wa kula
gas kwanza uhai baadae
MAREHEMU ALIZALIWA 05.02.77,ENZI ZA UHAI WAKE lijishughulisha na kuua mazao ya biashara:pamba,tumbaku,kahawa.korosho,na katani pia marehemu atakumbukwa kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kutaifisha nakuua viwanda na makampunibinafsi,kuua vyama vya wakulima,kuua na kuuzamakampuni na viwanda...
Wakati lulu akiachiliwa kwa dhaman ana ponda kuendelea kusota jela na mahakama kushindwa kutoa maamuzi ya kina kuhusu kosa la ponda je hii imekaaje wana jf, mbona tunataka tufika siko na kufanya waislamu waonekane wabaya
"ponda aachiliwe kosa lake halijulikani na lulu nae vipi"
amechemka pinda ni kweli hayo yote ila cha muhimu ni kuona power plant ya 300mw mtwara na viwanda walivoahidi na sio vinginevo pia tuangalie sana muda wao wa kuwa madarakani na hili wanalilitaka kulifanya isije ikala kwetu.
MAPAMBANO YANAENDELEA :MTWARA KWANZA GAS KWENDA DAR BAADAE"
Kutokana na msimamo wa wana mtwara na lindi msimamo wao na madai yao ya msingi na kuoneka serikali ina nia ya kuwataka kutia changa la macho kwa wana mtwara -lindi,na kufanya kusahau ahadi walizozitoa hapo awali na kupelekea kutoeleweka daima,
"gas kwanza maneno baadae"
Wewe waweza kuwa mpotoshaji wa kukodiwa maana unayoyasema maanayake unayo moyoni mwako. Haya kwa vile walaji wa umeme wakubwa wako Dar Kwa nini Mtera haikuleta maji Dar na badala yake imeleta umeme. Kusini hawadanganyiki tena kaa usubiri. Bora gas ibaki ardhini kuliko gas ghafi ipelekwe Dar.
Pamoja na kuwa na mengi ya kuongea kuhusu comment yako, napenda kwa sasa niseme tu kuhusu hapo kwenye red. Moja ya sababu ambazo serikali inatoa ili kuhalalisha kutoa gas Mtwara kwenda Dar ni gharama kubwa ya kujenga Mtambo wa kuzalisha umeme na kusafirisha umeme kwenda grid ya Taifa. Wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.