umechelea sana kiongozi do_k-taaaa is like a woman who is seeking for baby for long after the baby is born she poison but the baby never die! part change is innevitable! ukawa front...........!!!!!!!!
hili shirikisho la wanafunzi wa vyuo ni vijana wa-ki-imbw-a kuliko hata UVCCM ama kweli Elimu siyo busara na uelewa wa siasa, hawana mchango wa ukombozi kisiasa, hawa ni vifata upepo na daraja la hawa mafisadi na tunakoelekea kuna walakini wa mgogoro baina yao na UVCCM. Njaa sanaaaa hawa.
hata kiongozi wao tuu ni dj khaleed hoja watajulia wapi yawezekana hata hawa wachangiaji wameshakunywa viroba. Zitto anadili na sera za ACT ila wao wanadili na majungu! tatizo shule hakuna......!
Big up yeriko
this conscious thread ila wana jf wameingiliwa na u-fb wazee wa kujipongeza mwonekano. It can be tiresome to jf member readng the whole thread
cyo kweli tatizo watanzania wengi pamoja na wewe ni wanaakili nyingi kiasi hamjui nani adui kwani watanzania tumejengwa na tamaa na ubinafsi tuu hakuna mkombozi wa keli mabadiliko ni wewe siyo ACT, CHADEMA labda CCM KWANI UBAYA NA UZURI WAKE TUMEUONA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.