Zitto Kabwe: Chickens coming home to roost

Zitto Kabwe: Chickens coming home to roost

Somo zuri ila kuna wanasiasa hawajifunzi bado. Nasubiria Lissu turn.

Mnyika naye keshaanza kupotea pole pole.
Naibu katibu mkuu hasikiki haonekani.
Anaonekana mwenzie wa Zanzibar tu.
 
propaganda machinery ya CHADEMA ikiongozwa na
1)yericko nyenyere
2) ben saa nane
3)godlisten malisa
4)makene
5) kubenea
........ nk

Ben Sanane naye tangu akatwe Rombo simuoni kabisa humu. Kapotea sijaona comments zake kuhusiana na mnyukano huu wa kisiasa.
Kinamna flani amepotea kama alivyopotea Silaa kabla hajaibukia Serena.
Where is Ben?
 
Hata wewe ni propaganda machinery...pengine ya ccm au act....wakati huu wa mabadiliko hii inasaidia chochote...you are just a fool trying to portray to jf members that are able to bring something from history...

chickens coming home to roost

mara baada ya jfk kupigwa risasi kule dallas na kufariki dunia, wana habari walikwenda kwa malcolm x kumuuliza maoni yake na jibu lake lilikuwa fupi tu "the chickens came home to roost"kwa ufupi tu, x alieleza namna serikali ya marekani ilivyoachia wazungu kunyanyasa, kuua na kutesa watu wa rangi nyingine kama waafrika, bila ya kuwachukulia hatua yoyote.

Hivyo, sasa weupe nao umefika wakati wapate madhila pia. Wamarekani walimlaani x kwa ajili ya kauli hiyo lakini ulikuwa ukweli.
hiyo ndiyo hali inayomkuta dk. Wilbrod slaa hivi sasa. Kuku wake nao sasa wameanza kurudi bandani.
Kwa miaka takribani saba au nane sasa, dk. Slaa alikuwa akishuhudia namna vijana wa chama chake walivyokuwa wakitukana watu mitandaoni, wakizushia watu mambo yasiyo ya kweli, wakidhalilisha na kuondoa utu wa watu.

Wakifukuzisha watu kazi kwa tuhuma za uongo, wakiharibu credibility ya watu walio credible na kumaliza maisha ya kisiasa ya watu ambao siasa zao zingekuwa na msaada mkubwa kwa taifa huko tuendako. Wote hawa waliharibiwa na propaganda machinery ya chadema.

Nimeona watu wakilia machozi kwa kuumizwa kihisia na vijana wa chadema, nimeshuhudia watu wakinyimwa kabsa haki ya kujieleza kwa sababu ya kuzidiwa na nguvu, shinikizo na kashfa za vijana wa chama hicho.

Kama isingekuwa tu uvumilivu wa aina yake, leo hii zitto kabwe angekuwa amekufa kabisa kisiasa au kimwili. Hii kazi ilifanyika vizuri na dk. Slaa alikuwa miongoni mwa wafaidika wa siasa za namna hii.

Wakati huo, yeye alikuwa untouchable... Mguse slaa uone kitakachokukuta.

Sasa leo, wafuasi wa kwenye mitandao na magazeti yaleyale yaliyokuwa yakimpamba na kumlinda kwa gharama yoyote, yameingia katika kazi ileile waliyozoea. Kwa bahati mbaya, mara hii dk. Slaa ndiyo muathirika. Hiki anachokipata sasa, ndicho ambacho akina zitto wamekuwa wakiishi nacho kwa miaka sasa.

Now, the chickens are coming home to roost, dr. Slaa.
Nimeona mahala. Ina hoja.
 
viongozi wa CDM wanabahati mbaya hawawafahamu vijana wanaowaongoza -kwa kifupi ukionesha kurudi nyuma kimapambano na CCM uhusiano kwisha awe Mbowe awe Lisu ama yeyote yule ikiwamo lowassa wanachotaka ni CCM out hawampendi yeyote-na hawawa wanaumoja wao usio na viongozi wanatiana moyo na ushujaa kupitia mitando ya tehama na hichi ndicho CCM walichoshindwa
 
sikutegemea kama dr slaa atashambuliwa kiasi hiki, as if hana mchango wowote chadema, sikushangaa sana kwa zitto kwani dini yake pia ilimponza, lakini nashindwa kuelewa kwa slaa, matusi yaliyoshushwa tangu juzi humu sikuamini!, ths why nasema huyo lissu aishi kwa tahadhar sana, aendelee tu kuwa kama boya na asiwe anakosana hata kimawazo na mwenyekiti

Alitumia angle tofauti kufikisha ujumbe wake.
 
Hicho kinachomkuta ni matokeo ya kukiuka misingi ya mabadiliko, na kwa taarifa yako ukigeuka misingi au kwenda tofauti na misingi hiyo hutaachwa. Iwe Zitto, Slaa, Mbowe nk. Nadhani katika walio baki kwenye nafasi ya juu ambao hawajatoka kwenye misingi ya kutaka mabadiliko ni Mbowe tu huko cdm, na kama huamini hebu Mbowe alete hizo za Slaa juzi uone kama watu watamfagilia, atapewa zake mpaka achanganyikiwe.

Mbowe ataletaje hizo wakati ndiye injinia wa mabadiliko? Kutoka sera ya kupinga ufisadi mpaka sera ya kuukumbatia ufisadi!
 
Sioni alicholiandika huyu kina uhusiano na yanayootokea tanzania zaidi ya unafiq
 
CHICKENS coming home to Roost

Mara baada ya JFK kupigwa risasi kule Dallas na kufariki dunia, wana habari walikwenda kwa Malcolm X kumuuliza maoni yake na jibu lake lilikuwa fupi tu "The Chickens came home to roost"Kwa ufupi tu, X alieleza namna serikali ya Marekani ilivyoachia wazungu kunyanyasa, kuua na kutesa watu wa rangi nyingine kama Waafrika, bila ya kuwachukulia hatua yoyote.

Hivyo, sasa weupe nao umefika wakati wapate madhila pia. Wamarekani walimlaani X kwa ajili ya kauli hiyo lakini ulikuwa ukweli.
Hiyo ndiyo hali inayomkuta Dk. Wilbrod Slaa hivi sasa. KUKU wake nao sasa wameanza kurudi bandani.
Kwa miaka takribani saba au nane sasa, Dk. Slaa alikuwa akishuhudia namna vijana wa chama chake walivyokuwa wakitukana watu mitandaoni, wakizushia watu mambo yasiyo ya kweli, wakidhalilisha na kuondoa utu wa watu.

Wakifukuzisha watu kazi kwa tuhuma za uongo, wakiharibu credibility ya watu walio credible na kumaliza maisha ya kisiasa ya watu ambao siasa zao zingekuwa na msaada mkubwa kwa taifa huko tuendako. Wote hawa waliharibiwa na Propaganda Machinery ya CHADEMA.

Nimeona watu wakilia machozi kwa kuumizwa kihisia na vijana wa CHADEMA, nimeshuhudia watu wakinyimwa kabsa haki ya kujieleza kwa sababu ya kuzidiwa na nguvu, shinikizo na kashfa za vijana wa chama hicho.

Kama isingekuwa tu uvumilivu wa aina yake, leo hii Zitto Kabwe angekuwa amekufa kabisa kisiasa au kimwili. Hii kazi ilifanyika vizuri na Dk. Slaa alikuwa miongoni mwa wafaidika wa siasa za namna hii.

Wakati huo, yeye alikuwa UNTOUCHABLE... Mguse Slaa uone kitakachokukuta.

Sasa leo, wafuasi wa kwenye mitandao na magazeti yaleyale yaliyokuwa yakimpamba na kumlinda kwa gharama yoyote, yameingia katika kazi ileile waliyozoea. Kwa bahati mbaya, mara hii Dk. Slaa ndiyo muathirika. Hiki anachokipata sasa, ndicho ambacho akina Zitto wamekuwa wakiishi nacho kwa miaka sasa.

Now, the Chickens are Coming Home to Roost, Dr. Slaa.
Nimeona mahala. Ina hoja.

CHADEMA ni taasisi.
Hata Mbowe akizingua atakaa kando tu
 
mkuu licha ya kunichekesha lakini pia umeongea ukweli mtupu. MIMI NASEMA HIVI, MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI. bado watu wanne.
ni suala la muda tu.


CHICKENS coming home to Roost

Mara baada ya JFK kupigwa risasi kule Dallas na kufariki dunia, wana habari walikwenda kwa Malcolm X kumuuliza maoni yake na jibu lake lilikuwa fupi tu "The Chickens came home to roost"Kwa ufupi tu, X alieleza namna serikali ya Marekani ilivyoachia wazungu kunyanyasa, kuua na kutesa watu wa rangi nyingine kama Waafrika, bila ya kuwachukulia hatua yoyote.

Hivyo, sasa weupe nao umefika wakati wapate madhila pia. Wamarekani walimlaani X kwa ajili ya kauli hiyo lakini ulikuwa ukweli.
Hiyo ndiyo hali inayomkuta Dk. Wilbrod Slaa hivi sasa. KUKU wake nao sasa wameanza kurudi bandani.
Kwa miaka takribani saba au nane sasa, Dk. Slaa alikuwa akishuhudia namna vijana wa chama chake walivyokuwa wakitukana watu mitandaoni, wakizushia watu mambo yasiyo ya kweli, wakidhalilisha na kuondoa utu wa watu.

Wakifukuzisha watu kazi kwa tuhuma za uongo, wakiharibu credibility ya watu walio credible na kumaliza maisha ya kisiasa ya watu ambao siasa zao zingekuwa na msaada mkubwa kwa taifa huko tuendako. Wote hawa waliharibiwa na Propaganda Machinery ya CHADEMA.

Nimeona watu wakilia machozi kwa kuumizwa kihisia na vijana wa CHADEMA, nimeshuhudia watu wakinyimwa kabsa haki ya kujieleza kwa sababu ya kuzidiwa na nguvu, shinikizo na kashfa za vijana wa chama hicho.

Kama isingekuwa tu uvumilivu wa aina yake, leo hii Zitto Kabwe angekuwa amekufa kabisa kisiasa au kimwili. Hii kazi ilifanyika vizuri na Dk. Slaa alikuwa miongoni mwa wafaidika wa siasa za namna hii.

Wakati huo, yeye alikuwa UNTOUCHABLE... Mguse Slaa uone kitakachokukuta.

Sasa leo, wafuasi wa kwenye mitandao na magazeti yaleyale yaliyokuwa yakimpamba na kumlinda kwa gharama yoyote, yameingia katika kazi ileile waliyozoea. Kwa bahati mbaya, mara hii Dk. Slaa ndiyo muathirika. Hiki anachokipata sasa, ndicho ambacho akina Zitto wamekuwa wakiishi nacho kwa miaka sasa.

Now, the Chickens are Coming Home to Roost, Dr. Slaa.
Nimeona mahala. Ina hoja.
 
Zitto hana Jipya era yake ishakwisha kutesa kwa zamu,sasa ni zamu ya tumbili na mkosamali.
 
Mbowe ataletaje hizo wakati ndiye injinia wa mabadiliko? Kutoka sera ya kupinga ufisadi mpaka sera ya kuukumbatia ufisadi!

usitake kupotosha tunajua EL ni mchafu ila kwa kuwa kajiunga na sisi kutaka kuiondoa ccm tunamuunga mkono hata kinafiki. Nasema hata huyo Mbowe leo akihifanya anataka ccm irudi madarakani hataamini macho yake. Huyo EL alipokuwa huko ccm tulimponda sana na tulikuwa tunaomba achaguliwe na ccm tumshambulie kwa ufisadi wake. Ila kwa kuwa kaja kwetu anacheza beat yetu ya mabadiliko tunamuunga mkono na uchafu wake. Ndio maana Slaa alivyotumika na ccm kutaka kwenda kujaza wabunge wa ccm bungeni wasiojua wajibu wao wanacdm ndio wamekuwa wakwanza kumkataa. Hivyo kama mlimpa hela airudushe ccm madarakani andikeni hasara.
 
Kajiosha mwenyewe, mwosha huoshwa?? Kwa lipi tuhangaike na huyo babu sie, mtu kalamba p za kutosha kwa ajili ya kununulia mihogo, anakuwa victim kwa nani!!?? Haya z nae bado analia lia hapa Oooooh alipitia hayo, that traitor!? I don't give a damn
 
yes, Chicken come home to roost.....


CHICKENS coming home to Roost

Mara baada ya JFK kupigwa risasi kule Dallas na kufariki dunia, wana habari walikwenda kwa Malcolm X kumuuliza maoni yake na jibu lake lilikuwa fupi tu "The Chickens came home to roost"Kwa ufupi tu, X alieleza namna serikali ya Marekani ilivyoachia wazungu kunyanyasa, kuua na kutesa watu wa rangi nyingine kama Waafrika, bila ya kuwachukulia hatua yoyote.

Hivyo, sasa weupe nao umefika wakati wapate madhila pia. Wamarekani walimlaani X kwa ajili ya kauli hiyo lakini ulikuwa ukweli.
Hiyo ndiyo hali inayomkuta Dk. Wilbrod Slaa hivi sasa. KUKU wake nao sasa wameanza kurudi bandani.
Kwa miaka takribani saba au nane sasa, Dk. Slaa alikuwa akishuhudia namna vijana wa chama chake walivyokuwa wakitukana watu mitandaoni, wakizushia watu mambo yasiyo ya kweli, wakidhalilisha na kuondoa utu wa watu.

Wakifukuzisha watu kazi kwa tuhuma za uongo, wakiharibu credibility ya watu walio credible na kumaliza maisha ya kisiasa ya watu ambao siasa zao zingekuwa na msaada mkubwa kwa taifa huko tuendako. Wote hawa waliharibiwa na Propaganda Machinery ya CHADEMA.

Nimeona watu wakilia machozi kwa kuumizwa kihisia na vijana wa CHADEMA, nimeshuhudia watu wakinyimwa kabsa haki ya kujieleza kwa sababu ya kuzidiwa na nguvu, shinikizo na kashfa za vijana wa chama hicho.

Kama isingekuwa tu uvumilivu wa aina yake, leo hii Zitto Kabwe angekuwa amekufa kabisa kisiasa au kimwili. Hii kazi ilifanyika vizuri na Dk. Slaa alikuwa miongoni mwa wafaidika wa siasa za namna hii.

Wakati huo, yeye alikuwa UNTOUCHABLE... Mguse Slaa uone kitakachokukuta.

Sasa leo, wafuasi wa kwenye mitandao na magazeti yaleyale yaliyokuwa yakimpamba na kumlinda kwa gharama yoyote, yameingia katika kazi ileile waliyozoea. Kwa bahati mbaya, mara hii Dk. Slaa ndiyo muathirika. Hiki anachokipata sasa, ndicho ambacho akina Zitto wamekuwa wakiishi nacho kwa miaka sasa.

Now, the Chickens are Coming Home to Roost, Dr. Slaa.
Nimeona mahala. Ina hoja.
 
Back
Top Bottom