Acha Waisome Namba, CCM Mbele kwa Mbele

Acha Waisome Namba, CCM Mbele kwa Mbele

watasema mengi lakini ccm iko pale pale haiterereki na umati wa watu kutoka UKAWA ,,..... LOWASSA fisadi sana watanzania tusikubali kupotea tukiwa macho..!!!!! LOWASSA haifai kuiongoza Tanzania kabisaaa
 
yanawahusu watu wa UKAWA maana hawajielewi wanachokifanya mtu katoka CCM gafla na kuamia UKAWA nakutaka Uraisi hapo kwa hapo bila kujua taratibu za chama husika afu watanzania wasiokuwa na akili timamu wanamuuunga mkono fisadi asiye na maana katika nchi yetuu
 
Wanabodi,

leo tena naendelea na zile nakaa zang za malaika na shetani.



Kwa wasomaji wapya katika kukumbushaba tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alijua malaika Mkuu! .



Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale malaika wengine waliojiunga nae ambao sasa wote ni mashetani wengine walioamua kujiunga nae.



Katika la jeshi la malaika wa mbinguni from time to kuna baadhi ya malaika huwa wana defect na kumfuata shetani na huo hugeuka mashetani.



Vivyo hivyo kwenye jeshi la shetani kuna mashetani huwa wanatubu na kumrudia Mungu hivyo hurejea na kuwa malaika. Hawa sasa ni harmless kwa sababu ushetani wao wote wana kuwa wameuacha kyle ushetanini!.



Lakini inapotokea malaika akaamua kufanya kazi ya shetani huku amepose kama malaika!, huyu ni Hatari kuliko hata shetani mwenyewe maana you can't tell!. Watu wa Mungu watamsikiliza wakidhani ni malaika kumbe nje na ngozi tuu ndio ya malaika lakini ndani ni ibilisi mwovu shetani waged! .



Swali ni je ni nani ni Hatari zaidi Kati ya shetani aliyetubu na kugeuka malaika na malaika Aliyegeuka shetani kwa kufanya kazi ya shetani huku akiendelea kupose as malaika?!.



Tafakari na chukua hatua.



Nawatakia Jumatano njema.
 
Mtasema sana.Haiingi akilini miaka 53 ya uhuru ndo tunazidi kuwa na hali ngumu kiuchumi ,huduma za jamii nk. Kama ccm mataka kuendelea kutuongoza mtuelrze watanzania ni lini wizi, ufisadi mtauacha?na mnawahaidi watanzania wawapatie muda gani muweze kufikia malengo ya kuwapatia maisha bora.Wakikubaliana nanyi naamini watawapatia ridhaa ya kuendelea kuwaongoza.Vinginevyo mkubali kukaa pembeni ili wengine waongoze.
 
LOWASSA MABADILIKO, MABADILIKO LOWASSSSSAAAA!

1. TISS (shirika la kijasusi tz) wasimamia show nzima ya Dr ikiwa ni pamoja na ulinzi!

2. Hotuba zaidi ya masaa mawil TV tatu,radio mbili tena live coverage zaidi ya milion 200 Dr katoa wapi?

3. Mwisho wa Hotuba nyimbo ya ccm ,mkutano wa ukawa ya nini?

4. Nani kalipia safari ya Dr private jet kutoka south na gharama za serena kalipa nani ikiwa yeye anashindia mihogo?

5. ushahid alikuwa nao ni kwa nini hakumwonyesha mwanasheria wa chama Tundu Lissu Kabla na ukawa nao miaka nane.

6. Mh mwakyembe alikwenda serena kufanya nini? ( ushahidi upo)

7. kwanini alichukua mshahara wa august mil 7 wakati aliacha siasa toka july.

8.kwanini bado anakaa kwenye nyumba ya chama? walinzi wa chama?

9.Ulitupiwa mizigo yako na mchumba wako siku ulipotoka kwenye mkutano na Lowassa ikapelekea kulala kwenye gari, je ni shinikizo lake ili useme yote haya kuvuruga.

10.Ulipewa mil500 za rushwa ukakataa ni kwanini huku ripoti TAKUKURU unakuja kusema baada ya miaka nane kupita?

11. Kusingizia viongozi wa dini na kusema sumaye alipeleka polisi wakawapige waislam na kusema maaskofu wa kanisa katoliki wamehongwa mil 50 kila mmoja je hiii si kusambaza udini na chuki?? kulikuwa na haja gani kusema haya mbele ya watanzania kama wewe unabusara???

12.kwanini ulishiriki vikao vya kumkaribisha LOWASSA kama FISADI si ungekataa mapema!

13.Mimi nilikwenda jangwani kwa nauli yangu na wala sikununuliwa kama usemavyo


Dr Slaa umenunuliwa sio bure! mda mlefu nilikuwa napenda nihamie CHADEMA lakini wewe ulikuwa kikwazo sana ni kiongozi usiye na busara wewe jazba na kupaniki...

nenda nenda tuu dkt... kumbuka kumpiga chura teke ni kumuongezea spidi!

LOWASSA mwanzo mwishooooooo.gari spidi 650 utawezaje kushuka??
 
Baada ya dozi aliyoitoa jana Padre Mstaafu Dr Slaa reaction za wafuasi wengi wa UKAWA ni kuwaomba viongozi wao wampotezee (wasimjibu), wakati wenyewe humu wameshindwa kuvumilia, wanamuanzishia uzi kila sekunde kutokana na speech yake ya jana, hii inaonyesha jinsi gani dawa ilivyowaingia sema ubishi na uvumilivu ndo unafanya muendelee kuwa UKAWA. Kwa maoni yangu mimi ni kwamba jana Dr Slaa kawafunga goli la kisigino tena la ushindi dakika ya 90 Magufuli anajianda kunyanyua kwapa tu, kama kweli mngekuwa hamjali alichokizungumza Slaa na hakina effect yoyote msingekesha humu kumuanzishia thread. R.I.P UKAWA tulieni dawa iwaingie.
 
CCM kwann mnakuwa wavivu wa kujitambua? mmeshatupoteza lakini bado ni mbele kwa mbele tuuu, kwahyo tuendelee kukpotea tuu?. walau mngerudi nyuma kwanza mjipange alafu safari yenu ya mbele kwa mbele iendelee. kinyume na hapo tunaamua kushuka kwenye gari lenu muendelee wenyewe na safari yenu ya mbele kwa mbele. alaaaaa
 
Baada ya dozi aliyoitoa jana Padre Mstaafu Dr Slaa reaction za wafuasi wengi wa UKAWA ni kuwaomba viongozi wao wampotezee (wasimjibu), wakati wenyewe humu wameshindwa kuvumilia, wanamuanzishia uzi kila sekunde kutokana na speech yake ya jana, hii inaonyesha jinsi gani dawa ilivyowaingia sema ubishi na uvumilivu ndo unafanya muendelee kuwa UKAWA. Kwa maoni yangu mimi ni kwamba jana Dr Slaa kawafunga goli la kisigino tena la ushindi dakika ya 90 Magufuli anajianda kunyanyua kwapa tu, kama kweli mngekuwa hamjali alichokizungumza Slaa na hakina effect yoyote msingekesha humu kumuanzishia thread. R.I.P UKAWA tulieni dawa iwaingie.
Uzi na comments za kumuhusu Dr. Slaa zimekuwa nyingi sana, yaani unakuta uzi wa lowassa yuko Songea, watu wanaongea ya Dr. Slaa, dozi imeingia na inaendelea kuingia!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Hoja za watu wa kawaida hujibiwa na watu wa saizi yao.huu sio muda wa viongozi wa UKAWA kumjibu slaa.viongozi kazi yao ni kutangaza ilani ya uchaguzi ya cdm/ukawa.slaa ni historia.acha vijana wamfunze hekima zinaweza kurudi.
 
Unamtisha nani kwa faida ya nani, wakati JF ni jukwaa huru kwa Mtanzania yeyote yule kushare feelings zake pasipo kuingilia uhuru wa mwingine kwa muktadha wa kuvunja katiba ya Nchi...Hivi lini CCM ikawa ni kitu kinchozungumzika kwa raia mwingine kama Tusi la kikatiba au la kuvunja sheria ni binadamu mwenye Upumbavu na Ulofa pekee ndiye anae weza tamka kuzungumza ama kufanya majadiliano na wenzie kuhusu CCM kwao ni tusi la nguoni..tena nia aibu mtu yuko kwenye jukwaa la Siasa ama Uchaguzi kutoa michango yenye sura ya kuwatisha wengine eti nakusihi wewe nani JF...Modertors watwambie kama account zetu humu kuwemo JF zimekuwa jukwaa la watu maalumu ambao wakiskia mtu anaizungumzia CCM kwao ni matusi basi tujue kuwa sie wengine kama raia wa Tanzania na JF ni Jukwa la Watanzania tunabaguliwa kushare na kuexpress mawazo yetu kwa faida ya Taifa letu...

Moderators ...nitakomaa na sentensi hii mpaka na kitaeleweka....nijue kujadilia CCM kama ni kosa JF...

Uhuru usio na mipaka huo hauna maana ndio maana humu kuna moderators. Tukuache unatuanzisha siku kwa mitusi
 
Kwan lowasaa yupo wapi tupen update basiiHa ha slaaa ni hatar
 
nasubiri ripot ya Dr.wa wavichwa ili nijibishane na wwe
Ebhana naona umeona Dar es Salaam Morocco na yale ya Masasi Mjini, Mwanza na Shinyanga Mjini....Wataisoma namba.
 
Tupo katika mstari,wala hatutatoka nje ya reli,mnajaribu kuuzima moto wa mabadiliko ya chama kwa kumwaga petrol?Ilikuwa mchana,jioni,usiku sasa TUNASONGA MBELE.
 
Watanzania mtasoma namba wengine wanapiga escrow.mtakalia mawe darasani,mtakula vumbi ,....mbele kwa mbele.mtakoma na kura zenu...mmedanganyika wenyewe!.....mbele kwa mbele.unalia nini ....INA wenyewe sisi mbele kwa mbele.mnywe mkojo sisi mbele kwa mbele...!hakuna dawa hospitalini ....sorry ....mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom