Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Wewe ni janga la kitaifa...hatukutaki, uhitajiki, na hatutakuhitaji kamwe chadema....Tabia zako zinafanana kabisa na zile ulizokuwa nazo wakati wa ujauzito wa mama yako.
Mbona unarukaruka? umeambiwa jibu maswali chama kipate wanachama wengi maana hayo maswali yasipojibiwa itakuwa vigumu chama kuaminika,sasa matusi ya nini au ndiyo ulivyofundishwa na wazazi wako?