Habarini wakuu....hvi hii course ya water quality and laboratory technology kutoka chuo cha maji ubungo ina uwanja mkubwa wa ajira kweli? Naomba mwenye uelewa anijuze nsije zama nkajikuta nasugua gaga kitaa...mana nimeenda pale chuoni wakanielekeza kwa matokeo yangu naweza soma hyo...
Kama upo vizuri wekeza kwenye nguo za kike hasa suruali za kike za kulalia na kitaa...mwanza bado sana japo sa hv mwamko umeanza so ukiwah unadaka soko fresh kabla halijakaba....mgahawa wa fresh juice pia unamake money....!! Appartment zinahtajika sana kama mkwanja unao jitupie... Fursa zipo...
Sifa zinapungua...ya miaka miwili lazima iwepo physcs na physics skusoma....ila level 4 wanaruhusu without phys..sa nlikuwa nauliza kama nkianzia level 4 wataruhusu level 5 na kuendelea isje tena wakaxingua mbele
Naomba kuuliza kwa anayejua hvi ukisoma basic technician certifucate in pharmaceutical science NTA 4 ukifaulu vizur unaruhusiwa kusoma, level 5, 6 then degree for the same course? Naombeni kwa anayeelewa anijuze
Watanzania wengi tupo kama kondoo hatuangalii nyakati na mazingira..sasa hvi maghu yupo hot sana na wananchi wanamkubali, ukimtukana lazima unyee ndoo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.