Serikali itamudu gharama za kuhamisha Wizara zote ndani ya miaka 5 kweli?

Barakaeli174

Senior Member
Aug 2, 2015
171
142
Niseme tu kwamba gorofa za Wizara mbali mbali zilizopo dar es salaam hazijajengwa ndani ya miaka 5 zote zikakamilika, wizara ya Mali asili ilijengwa na jengo bado jipya huku wakijua serikali lazima ihamie Dodoma. Je katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016-2017 kuna bajeti ya ujenzi wa ofisi ya waziri mkuu Dodoma? anahamia mwezi 9 maana yake yeye na watumishi wake lazima wapate jengo dodoma kwa gharama yoyote, kama ni kukodi jengo la mtu binafsi ni vema pesa za kukodi zianze ujenzi ili ofisi itakapo kamilika wahamie maramoja ( tuangalie double spending) unaacha jengo lako dar unaenda kupanga, serikali ya mtaa na serikali kuu haina majengo ambayo yalikuwa hayatumiki ili yawapokee watumishi wote waanze kazi mara moja. naomba mnisaidie kujibu maswali haya ili tukubaliane wote:
1. watumishi wenye familia zao dar na wameisha jenga wataenda kuanza maisha mapya dodoma kwa nyumba za kupanga je kodi za kulipa advance ya miezi 6 wataipata wapi, na sh ngapi itaachwa nyumbani kwa ajili ya matumizi. tayari tumechukua mikopo tumebaki na 1/3 hatuishi tena kama malaika hatuna safari na posho itakuwaje? mishahara haijaongezwa itakuwaje? tutapewa advance kwa ajili ya kulipia nyumba dodoma na kuanza kununua vyombo vya ndani au tutakuwa tunafanya kazi dodoma jioni tunarudi dar?

2. Maghorofa kwa ajili ya wizara huwa hayajengwi kwa mwaka 1 tu huchukua miaka itakuwaje hapa.

USHAURI: Swala hili lingetekelezwa taratibu majengo ya watumishi yakiandaliwa mwaka hadi mwaka, kila jengo la wizara linapokamilika wanahamia na huku mishahara ikiongezwa mwaka hadi mwaka ili kuwawezesha watumishi wasipate shida.

WATUMISHI WOTE WA WIZARA KUANZIA JUMA MOSI YA TAREHE 23/07/2016 USIKU HAKUNA ALIYEPATA USINGIZI KITANDANI HATA HAMU YA KULA TUNDA HAMNA SASA HIVI, WANAFIKIRIA MAKAZI MAPYA AMBAYO HELA YA PANGO ITAKUWA KAZI KUBWA SANA NA MAISHA WATAYAENDESHAJE UGENINI.
 
Msaliti Namba moja wa chadema ni Mbowe.

Mbowe ni Yuda esikarioti wa mabadiliko ya kweli ,

Kubadili gia angani na kutuletea Mr zero na Mafisadi kwenye chama ,inauma sana
 
Niseme tu kwamba gorofa za Wizara mbali mbali zilizopo dar es salaam hazijajengwa ndani ya miaka 5 zote zikakamilika, wizara ya Mali asili ilijengwa na jengo bado jipya huku wakijua serikali lazima ihamie Dodoma. Je katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016-2017 kuna bajeti ya ujenzi wa ofisi ya waziri mkuu Dodoma? anahamia mwezi 9 maana yake yeye na watumishi wake lazima wapate jengo dodoma kwa gharama yoyote, kama ni kukodi jengo la mtu binafsi ni vema pesa za kukodi zianze ujenzi ili ofisi itakapo kamilika wahamie maramoja ( tuangalie double spending) unaacha jengo lako dar unaenda kupanga, serikali ya mtaa na serikali kuu haina majengo ambayo yalikuwa hayatumiki ili yawapokee watumishi wote waanze kazi mara moja. naomba mnisaidie kujibu maswali haya ili tukubaliane wote:
1. watumishi wenye familia zao dar na wameisha jenga wataenda kuanza maisha mapya dodoma kwa nyumba za kupanga je kodi za kulipa advance ya miezi 6 wataipata wapi, na sh ngapi itaachwa nyumbani kwa ajili ya matumizi. tayari tumechukua mikopo tumebaki na 1/3 hatuishi tena kama malaika hatuna safari na posho itakuwaje? mishahara haijaongezwa itakuwaje? tutapewa advance kwa ajili ya kulipia nyumba dodoma na kuanza kununua vyombo vya ndani au tutakuwa tunafanya kazi dodoma jioni tunarudi dar?

2. Maghorofa kwa ajili ya wizara huwa hayajengwi kwa mwaka 1 tu huchukua miaka itakuwaje hapa.

USHAURI: Swala hili lingetekelezwa taratibu majengo ya watumishi yakiandaliwa mwaka hadi mwaka, kila jengo la wizara linapokamilika wanahamia na huku mishahara ikiongezwa mwaka hadi mwaka ili kuwawezesha watumishi wasipate shida.

WATUMISHI WOTE WA WIZARA KUANZIA JUMA MOSI YA TAREHE 23/07/2016 USIKU HAKUNA ALIYEPATA USINGIZI KITANDANI HATA HAMU YA KULA TUNDA HAMNA SASA HIVI, WANAFIKIRIA MAKAZI MAPYA AMBAYO HELA YA PANGO ITAKUWA KAZI KUBWA SANA NA MAISHA WATAYAENDESHAJE UGENINI.

Hivi nyie wengine huwa mnaishi kwenye vichuguu au? raisi amesema mpaka kufika mwaka 2020 serikali yote itakuwa imehamia dodoma, pale dodoma facility za kuanzia zipo tangu enzi na enzi....hata hivyo siku zote ukitaka kufanikisha jambo huwa tunaanza kibishi na changamoto zingine tunatatua mbele ya safari lakini ukiwa ushadhubutu tayari...shida yenu mmefanya dar kuwa Mungu mtu, yaani sijui watu kama nyie mna akili za usiku, hvi serikali ishindwe kuhamia dodoma for the rest of many region kisa wfanyakazi wapuuzi waliopo hapa dar kisa wamejenga nyumba zao....kweli Magu inabidi aongeze udikiteta 100 times mana hii nchi ina la saba wengi wa mawazo
 
Hivi nyie wengine huwa mnaishi kwenye vichuguu au? raisi amesema mpaka kufika mwaka 2020 serikali yote itakuwa imehamia dodoma, pale dodoma facility za kuanzia zipo tangu enzi na enzi....hata hivyo siku zote ukitaka kufanikisha jambo huwa tunaanza kibishi na changamoto zingine tunatatua mbele ya safari lakini ukiwa ushadhubutu tayari...shida yenu mmefanya dar kuwa Mungu mtu, yaani sijui watu kama nyie mna akili za usiku, hvi serikali ishindwe kuhamia dodoma for the rest of many region kisa wfanyakazi wapuuzi waliopo hapa dar kisa wamejenga nyumba zao....kweli Magu inabidi aongeze udikiteta 100 times mana hii nchi ina la saba wengi wa mawazo
Waziri mkuu ameagiza wizara zote kuhamia Dodoma mara moja yeye atahamia mwezi September 2016 anataka wawe wameshaamishia ofisi na shuhuli zote huko Dodoma.
Je, bunge limeshapitisha bajeti kwa ajili ya hiki kipaumbele cha ghafla cha CCM?
 
Waziri mkuu ameagiza wizara zote kuhamia Dodoma mara moja yeye atahamia mwezi September 2016 anataka wawe wameshaamishia ofisi na shuhuli zote huko Dodoma.
Je, bunge limeshapitisha bajeti kwa ajili ya hiki kipaumbele cha ghafla cha CCM?
Kama ulimsikiliza leo waziri mkuu amesema bunge lijalo, wanapeleka hilo jambo bungeni na litapitisshwa na litatekelezwa... Kwahiyo, bungeni litaenda...
 
Kama ulimsikiliza leo waziri mkuu amesema bunge lijalo, wanapeleka hilo jambo bungeni na litapitisshwa na litatekelezwa... Kwahiyo, bungeni litaenda...

mkuu hii nchi watu wapo conservative sana...yaani wapo kama kondoo wanapowaza ni hapo hapo....wenyewe ni kuleta vikwazo tuuu..shiiti
 
mkuu hii nchi watu wapo conservative sana...yaani wapo kama kondoo wanapowaza ni hapo hapo....wenyewe ni kuleta vikwazo tuuu..shiiti
Tatzo ni siasa sana kuliko kufiri kwa mustakabali wa Taifa.
Alafu wanaongopa eti ni wazalendo na wanademokrasia.
Ukishazoea siasa za matukio na siasa za kuchafuana unakuwa unapunguza uwezo wa kufikiri jambo kwa mapana,. Unakalia kubisha bisha na kukosoa hata kitu ambacho jana jana yake ulikuwa unashabikia....
Alafu tunajiita vijana wazalendo wa Taifa hili. Kumbe wafia vyama...
Mtu mwenye kufukiri mambo akiwa free minded, hawezi akawa anakosoa kila jambo pasipo kufikiri..
Ila ukiwa na uchamachama haya ndio matokeo yake.... Kupotosha na kuchonganisha kila siku....
 
Back
Top Bottom