mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,260
kumbe mbeya isubiri mno
Kama upo vizuri wekeza kwenye nguo za kike hasa suruali za kike za kulalia na kitaa...mwanza bado sana japo sa hv mwamko umeanza so ukiwah unadaka soko fresh kabla halijakaba....mgahawa wa fresh juice pia unamake money....!! Appartment zinahtajika sana kama mkwanja unao jitupie... Fursa zipo shazi Wengine wataongezeaNaomba orodha ya uwekezaji mwanza ambao una lmtija kwa mtu binafsi naomba wanaokaa mwanza wanipe majibu....... Natarajia kuwekeza mwanza hivi punde
Nimekusoma kaka..... Ngoja wengine waje watuongezee fursa nyingine mwanza inahitaji wawekezaji wengi ili kukuza pato la mkoa....Kama upo vizuri wekeza kwenye nguo za kike hasa suruali za kike za kulalia na kitaa...mwanza bado sana japo sa hv mwamko umeanza so ukiwah unadaka soko fresh kabla halijakaba....mgahawa wa fresh juice pia unamake money....!! Appartment zinahtajika sana kama mkwanja unao jitupie... Fursa zipo shazi Wengine wataongezea
Umekubali?Miongoni mwa Mikoa masikini Tanzania ni pamoja na:
Kagera
Singida
Mwanza
Rukwa
Hayo aliyasema Waziri mapema mwezi uliopita.
Kumbe Mwanza kumejengwa hivi?
Nimekubali nini?Umekubali?
Kwamba Mwanza imejengwa.Nimekubali nini?
Kiasi...wakijitahidi watalifikia bara la Arusha.Kwamba Mwanza imejengwa.
OkKiasi...wakijitahidi watalifikia bara la Arusha.