Recent content by Unstopabble OG

  1. Unstopabble OG

    Tanga mbali lakini nitakuja hata kwa miguu

    Na ukitoka c utakuwa unanukia mandazi mkuu
  2. Unstopabble OG

    Hivi kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto awe wa kiume au wa kike

    Halipo kwa uelewa wako tu.. Ila kibayolojia ipo na inafahamika
  3. Unstopabble OG

    Hivi kuna uwezekano wa kuchagua jinsia ya mtoto awe wa kiume au wa kike

    Kibaiyolojia inawezekana hasa kama umesoma bayoloji vizuri ila kama ni bashite au msanii a.k.a art.. Bas umwachie mungu
  4. Unstopabble OG

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    Iko ivi... Kwenye biblia kwa wale wakristo. Utaona kwamba.. Kuna mungu iliyoandikwa kwa herufi ndogo na MUNGU ya herufi kubwa. Tofaut ni kwamba mungu ya herufi kubwa ni Mungu wa miungu yote na mungu wa herufi ndogo ni miungu mingineyo kama shetani, mabudha.. n.k
  5. Unstopabble OG

    Mafua mafuaaaa

    Kuna cold off madukani.. Iko bomba kinyama
  6. Unstopabble OG

    Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

    Nasikiaga kuna ugonjwa unaitwa mkanda wa jeshi... Ni nini??
  7. Unstopabble OG

    Jamaa aliyekufa miaka 14 iliyopita afufuka na kusimulia maisha aliyokutana nayo alipokuwa

    [emoji23] [emoji23] [emoji24]utaua bendi.... Usinchekeshe
  8. Unstopabble OG

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    What if ni mfupi kwako na anakuzidi umri
  9. Unstopabble OG

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    Na uliyemzidi wiki,mwezi au mwaka mmoja je??
  10. Unstopabble OG

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    Halaf ujue hata shetani ni mungu pia.. Asa ni MunGu gani unaemwongelea? Na je. Utajuaje kwamba huyu ni wa mungu wa kwelikweli
  11. Unstopabble OG

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    Sasa ndugu yangu mpendwa wa JF utajuaje kwamba huyu katoka kwa mungu??
  12. Unstopabble OG

    Darasa CMG atoa songi jipya la Utanitoa roho

    Kaoge kwanza ukirudi ntakuandikia notsi..
  13. Unstopabble OG

    Kuna upendeleo uchaguzi wa malkia wa nguvu Clouds

    Au kuna ndugu yako hakutajwaa nin??
Back
Top Bottom