Iko ivi... Kwenye biblia kwa wale wakristo. Utaona kwamba.. Kuna mungu iliyoandikwa kwa herufi ndogo na MUNGU ya herufi kubwa. Tofaut ni kwamba mungu ya herufi kubwa ni Mungu wa miungu yote na mungu wa herufi ndogo ni miungu mingineyo kama shetani, mabudha.. n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.