Mafua mafuaaaa

Mafua mafuaaaa

Hali ya hewa kwa Sasa mvua baridi hewa nzito nguo tunazovaa hazijakauka kwa jua mzunguko wa hewa ndani umepungua
Haya yote yanachangua mlipuko wa homa za mafua

Huu ni ugonjwa wa virus
Viral infection

Unachotakiwa kujua hakuna dawa ya viral infection zote tunazofanya ni supportive treatment

Traditionally kuna matumizi ya mvuke kujifukiza wengine wanatumia matunda kama walivyotaja wanajua zaidi

Dawa za kupunguza flow ya pua
Piritoni wengi mnaijua tatizo inaleta usingizi sana
Sedative
Cetrizine n.a. loratidine hizi hazina sedative effect unaweza kuzitumia zikakusaidia

Huhitaji kutumia antibiotics hazina nafasi wala hazikusaidii unless kuwe n.a. sababu za msingi
Mwone Dr kwa maelezo zaidi
 
Chai na ndimu swahiba inasafisha respiratory system yote unachanganya na sukar kdg then kunywa. Pole sana
 
Mimi nikiugua mafua tu nakimbilia dawa fulani hivi za chenga jina nimesahau na dicroper nameza wakati wa kulala nikiamka asubuhi mambo mukide huwezi ukajua kama nilikuwa mgonjwa wa mafua!!!!
 
Tumia levo-citirizine ni anti-histamine nzur itakusaidia haina any sedation
 
Hizi ndo hazikusaidia kabisa Mkuu wangu.
Yananisumbua sn yn,sina hata raha
tumia juisi ya limao kunywa glass 1
mchanganyo:-
limao 1 + glass 1 ya maji kwa siku 2
pasha maji yawe na joto chovya kitambaa na uchue pua ili kuruhusu mafua kulainika na kutoka
 
Back
Top Bottom