Mtoa mada yupo sahihi sana.utakuta unataka kugegeda demi.unalipia guest,unamlisha chakula cha nguvu,na nauli si chini 10,000 sasa. Hapo si bora ulale na kahaba.
Upo sahihi
Babu duni atulie na atuachie Chadema yetu.Pia namshauri akae kimya kwani haibomoi Chadema bali Ukawa .kwahiyo anakaya kuti alilokalia mwenyewe.
Akumbuke Ukawa ndiyo iliyosaidia kurudisha uhao Wa Cuf Bara.
Mwisho wanachadema na Ukawa wenzangu kuunganisha vyama vilivyokuwa na itikadi tofauti vije...
Mbowe bado anahitajika sana Chadema,Mbowe ni mbunifu sana.
Chadema bado inamhitaji Mbowe sana.
Mbowe ni mtaalamu Wa siasa za Tanzania kwani anajua acheze nazo vipi.
Up
Upopo sahihi sana,kwani ni rahisi kwa mwanamke Ku love back kama akipendwa kweli na mwanaume.
Lakini theoretical husband atawaumiza wadada wengi.
Mbaya zaidi unaweza kumpata,ukamshobokea agegeda papuchi na kusepa.
Dada nakushauri angalia mwanaume mwenye malengo kuliko kuendeshwa na hisia za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.