Babu Duni ajenda yako nini dhidi ya CHADEMA?!

Babu Duni ajenda yako nini dhidi ya CHADEMA?!

Hapo wakujilaumu ni cdm kwa kucheza karata zao vibaya. Mimi kama mimi ninaamini cdm tayari walikuwa wanaweza kura nyingi tu bila hata kushirikiana na chama chochote. Muungano ni kitu kizuri lakini bila kuangalia unayeungana naye ana utashi gani kwenye huo muungano ni kama kujichanganya tu. Hata wasingempokea EL na huyo Duni bado cdm ingetapa kura nyingi sana.


Bila kuungana na CUF zanzibar wasingepata kura nyingi vile... kwa hiyo muungano umewabeba katika ngazi ya Urais kupata kura za visiwani..
 
Huwezi kukimbilia kutoa tamko katika kila unachosikia mtu aliyehama chama chenu anasema.mengine yanazua malumbano na kukibomoa zaidi chama,unaamua kumpuuza mhusika.
Kuupuuza ukweli unaharibu chama ni hasara kubwa hasa pale wapinzani watakapo utumia kama silaha ya kukuangamiza
 
Bila kuungana na CUF zanzibar wasingepata kura nyingi vile... kwa hiyo muungano umewabeba katika ngazi ya Urais kupata kura za visiwani..
Kura za zanzibar ni ngapi ndugu yangu? Unaweza ukawa rais bila hata ya kupata kura moja ya urais huko znz.
 
Hapo wakujilaumu ni cdm kwa kucheza karata zao vibaya. Mimi kama mimi ninaamini cdm tayari walikuwa wanaweza kura nyingi tu bila hata kushirikiana na chama chochote. Muungano ni kitu kizuri lakini bila kuangalia unayeungana naye ana utashi gani kwenye huo muungano ni kama kujichanganya tu. Hata wasingempokea EL na huyo Duni bado cdm ingetapa kura nyingi sana.
Kweli kabisa. CDM wamejichanganya mpaka wamepoteana.kabisa. sasa wako kama kambale.
 
Alianza Lipumba na sasa babu Duni.Jambo la kushangaza ni kwamba katika haya yote CUF haijawahi kuwapinga wala kuwakemea wala kutumia neno usaliti dhidi yao.
 
Urafiki wa JK na Lowassa na jinsi walivyo ishia huku mwisho ni (hasa issue ya Richmond) umenifanya nisiwaamini waumini wote wa mama mdogo, sitakaa na kufanya makunaliano binafsi ya maana na watoto wa mama mdogo hata kidogo, ni wa binafsi sana, kweli Lowassa ni mvumilivu ingawa pia namlaumu sana kwa kuendelea kuificha siri isiofichika.
 
Babu duni atulie na atuachie Chadema yetu.Pia namshauri akae kimya kwani haibomoi Chadema bali Ukawa .kwahiyo anakaya kuti alilokalia mwenyewe.
Akumbuke Ukawa ndiyo iliyosaidia kurudisha uhao Wa Cuf Bara.
Mwisho wanachadema na Ukawa wenzangu kuunganisha vyama vilivyokuwa na itikadi tofauti vije kukubaliana na kufanya jambo LA maana na kubwa kama ilivyofanyika kwenye uchaguzi uliopita ni jambo LA kujipongeza.
Pamoja na hayo changamoto hazitoweza kukosekana na zitamalizwa kwenye vikao lakini si kupitia kupwayuka kwenye media.
 
Babu duni atulie na atuachie Chadema yetu.Pia namshauri akae kimya kwani haibomoi Chadema bali Ukawa .kwahiyo anakaya kuti alilokalia mwenyewe.
Akumbuke Ukawa ndiyo iliyosaidia kurudisha uhao Wa Cuf Bara.
Mwisho wanachadema na Ukawa wenzangu kuunganisha vyama vilivyokuwa na itikadi tofauti vije kukubaliana na kufanya jambo LA maana na kubwa kama ilivyofanyika kwenye uchaguzi uliopita ni jambo LA kujipongeza.
Pamoja na hayo changamoto hazitoweza kukosekana na zitamalizwa kwenye vikao lakini si kupitia kupwayuka kwenye media.
Hapa huyu mzee Duni anafanyakazi ya CCM kuibomoa CDM sijui nani kamtuma! sijamsoma kabisa.huu ni mda wa kupanga mikakati ya uchaguzi.wa 2020 na kuendeleza mshikamano badala ya Madongo ndani ya UKAWA.
 
Bila kuungana na CUF zanzibar wasingepata kura nyingi vile... kwa hiyo muungano umewabeba katika ngazi ya Urais kupata kura za visiwani..
wana UKAWA wote ni muhimu.kwa maendeleo ya nchi
 
Kuupuuza ukweli unaharibu chama ni hasara kubwa hasa pale wapinzani watakapo utumia kama silaha ya kukuangamiza
ujumbe umewafikia,wanataratibu zao za kushughulikia hayo kwa vikao badala ya kutumia njia ya Babu Duni.kuifurahisha CCM.
 
Alianza Lipumba na sasa babu Duni.Jambo la kushangaza ni kwamba katika haya yote CUF haijawahi kuwapinga wala kuwakemea wala kutumia neno usaliti dhidi yao.
Naamini viongozi wa CDM wanajua madhaifu mengi yaliyomo CUF nao wakianza kuibomoa UKAWA itakufa na hasara itakuwa kwa wananchi katika maendeleo.
 
Back
Top Bottom