Mianzini-ilboru-sanawari-ngulelo-kwa mrefu-shangarai-chama- tengeru(ukifika hapa weka simu mfukoni kwanza)-kwa Fundi(omba usipate ajali hapa mida ya usiku) sawmill(someli)- kilala-makumira- leganga- usa- momela- kambi ya kwanza- ya pili- kwa aloyce- sabato- maji ya chai- njia a ng'ombe-kikatiti-...
Hivi ule utaratibu wa kuamsha madude kila jumapili umeishia wapi?
Au madude ndo ayalali tena?
Au muamsha madude kalale yeye?
#tusitajanemajina[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kutishia kuchukua uamuzi mgumu atimae nimewekewa kilicho changu, japo nimepigiwa simu nikaambiwa nipeleke mkojo nikapimwe ka ni mchochezi[emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.