Sauti itokayo nyikani, hakuna uhuru ndani ya moyo wa mtu bila kusamehe, ukisamehe, utakuwa umeutua mzigo mzito unaotembea nao kifuani na moyoni mwako na waliokuzunguka. Amina, TAL, samehe kila kitu na kwako hii itkuwa shule kubwa kuliko ya darasani. Tanzania ni yetu, neno AMANI, upendo na subira...